Wamakonde tafadhalini sana, laana itawafuata na hata milele

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 du, hapo hakuna usalama tena!
 
We mmakonde unajiita jina la kichina
hapo sasa; jina la kichina, avatar ya kichina, post matusi katika jambo la kirafiki na burudani tu. atakuwa ana matatizo katika ubongo huyu!
 
Wamakonde ndo kabila gani sijawahi wasikia
 
Nimetafuta wimbo wa "chilambo cha Vene" hadi nimechoka.....
Tatizo la nyimbo zilizorekodiwa na vituo vya televisheni ni ngumu kuziona youtube! Huu wimbo ndhani waliurekodia ITV, (naomba kusahihishwa)
 
Nimetafuta wimbo wa "chilambo cha Vene" hadi nimechoka.....
Tatizo la nyimbo zilizorekodiwa na vituo vya televisheni ni ngumu kuziona youtube! Huu wimbo ndhani waliurekodia ITV, (naomba kusahihishwa)
dah, mi pia yaani huo wimbo sijui nitaupata lini.....naupenda mno!!!
nafikiri uko sahihi, walirekodia huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…