🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 du, hapo hakuna usalama tena!Njombaa unaiba Nazi zangu? Sasa chikia, ukishuka nchale, ukipanda nchale, ukiganda nchale, ukicheka nchale, ukinuna nchale, ukifumba macho nchale, ukifungua macho nchale, ukishika Nazi nchale, ukiachia Nazi nchale, ukipumua nchale, usipopumua nchale......
aisee!!😆😆😆😆nilienda ofisin nikagonga hodi Nlango wa kwa Nkuu wa Nkoa......
hapo sasa; jina la kichina, avatar ya kichina, post matusi katika jambo la kirafiki na burudani tu. atakuwa ana matatizo katika ubongo huyu!We mmakonde unajiita jina la kichina
Mungu wangu, hivi kuna ukabila gani niliouleta hapa?!!!!No matter.ila tribalism hatuipendelei hata nini
kwahiyo kama sijafanya basi na wengine wasifanye kilicho chema mkuu?wewe kama wewe umeshafanya nini kabla haujawashtumu wenzako?
Huyo mwamba alikuwa anaweza,mwenye wimbo wake wa Sanura anaweza kuuweka humu nimeutafuta kwa muda mrefu sana!
ni kweli kabisaNoma sana
Hahaha Nkuu wa nkoa njnga kweli kakataa kunfungulia Nlango ngeninilienda ofisin nikagonga hodi Nlango wa kwa Nkuu wa Nkoa......
mbona nyingi sana hiyo kiongozi, huwa naweka mb ya 200 tu!Mb za 500
si haba, iko juu sana hiyo ukilinganisha na 0/101.2/10
kujificha kwenye mkaranga hakujawahi kusaidiaWamakonde ndo kabila gani sijawahi wasikia
kujificha kwenye mkaranga hakujawahi kusaidia
itakuwa we ni mgeni kutoka uswisi bila shaka. hongera!Huwa wanajificha kwenye mratanga?hili kabila ni la mkoa gani ndo naskia leo
nikiendaga Mtwara nafurah sana kuskiliza ndugu zangu wanavyo ongea utaskia "Che" ......Ba"....somo" hahahaaa proud to be chingaHahaha Nkuu wa nkoa njnga kweli kakataa kunfungulia Nlango ngeni
dah, mi pia yaani huo wimbo sijui nitaupata lini.....naupenda mno!!!Nimetafuta wimbo wa "chilambo cha Vene" hadi nimechoka.....
Tatizo la nyimbo zilizorekodiwa na vituo vya televisheni ni ngumu kuziona youtube! Huu wimbo ndhani waliurekodia ITV, (naomba kusahihishwa)