Umedadavua vizuri sana; shukran. Mambo mawili. Mosi, inatoa picha Sultan Seyyid Said hakuwa mzalendo nchi yake ya Oman. Haikupata kusikika ufalme kuhamisha kitovu cha utawala kwenda ardhi nyingine ya mbali; sio himaya ya Roma, Uajemi, Ujapan, Uingereza, n.k ziliwahi kufanya hivyo. Something was wrong.
Pili, kama mojawapo wa watoto aligawiwa Zanzibar na kwa sehemu kubwa kizazi cha Zanzibar kilikuwa na nasaba ya Oman hisia za "huyu sio mwenzetu" hadi kupelekea mapinduzi zilitokea wapi?
Mapinduzi ya Zanzibar hayakulenga kumuondoa Sultan, hakuwa the main Target, Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni kwa ajili ya chama cha ZNP. hizo story za Sultan na propaganda uchwara za CCM kujaribu ku justify walioyafanya.
walichokifanya ni kutengeneza Picha kama vile Sultan alikuwa ni mkoloni wao wamepindua wakoloni kitu ambacho ni PUMBA