aaaaah six packs tena [emoji23][emoji23][emoji23] insta babe hapo kuna kitambi matata sana
ππππ nna tumbo flat tu mazoezi ya kutafuta six pack tulishaachaga baada ya kujua vinavyohitajika uraiani ni zaidi ya six packs ππWoyoooooo
Kumbe muhenga insta babe nikajua mambo ya six pack tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nna tumbo flat tu mazoezi ya kutafuta six pack tulishaachaga baada ya kujua vinavyohitajika uraiani ni zaidi ya six packs [emoji23][emoji23]
tumebaki na mazoezi ya afya na kuuweka mwili sawa maana sisi wengine kuswim ni moja ya starehe zetu sasa ukiwa na mwili wa kilemutuz itakuwa vituko [emoji23][emoji23][emoji23]
SawaUsijali nitawataja siku mwafaka ikiwadia
Anatafuta mume mzee huyu mmakonde mwenziyoSasa unataka uchumbiwe?
Jamani ulivyoongea mambo ya kuswimm umenikumbusha mm ni muoga na maji hahhahahha nikifika swimming naingiza miguu tu naanza kuchezea maji
Kwahiyo vinavyotafutwa zaidi ya six pack eeenh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] six pack kalinde club uko watu wanataka mahela
Hujambo mimi Putin.HAHAHAHAHAHA niache bhana mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe tupo wengi yaani mm nachezea naingia kabisa sasa niambie niswimm hahhahamahela ndio kila kitu insta babe [emoji23][emoji23]
alafu sio ww peke ako girls wengi sana hawajui kuogelea [emoji23]
huwa nacheka sana unamkuta msichana kaja swimin point analipa anaenda change room anatoka kavaa kapendeza kama muogeleaji wa olimpic [emoji38] na maumbo yenu watanzania sasa mashalah
unasema huyu dada atakuwa fundi kweli shughuli akija kwenyw swimin sasa anakaa pemben anadumbukiza vimiguu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah wamenizidi hadi mimiDaaah! Ila mnaamini kwenye vitaulo sana. Hilo halipingiki mkuu, japo pia huku hatuosheani na vipicha kama insta na FB. Huku anonymous rule inakuwa applied isipokuwa kama unataka kuwa verified user[emoji23][emoji23]
Na ukiwa verified si maana ya kuwa utakuwa unatuwekea vijuso ili wanaume wenzio tukuthaminishe. Haijakaa kiumeni.
Ndugu zenu vipi hawa cute b [emoji16]
We mi sio mmakondeAnatafuta mume mzee huyu mmakonde mwenziyo
Ok sawa Shem lake usiwazeWe mi sio mmakonde
hahahah....kwa ukali kabisa ππWe mi sio mmakonde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe tupo wengi yaani mm nachezea naingia kabisa sasa niambie niswimm hahhaha
Uwiiiii naogopa yaani sijui nitawezaje huyo wa kunifunza aache kazi afanye kazihahahah... kama unapenda kuswim insta jifunze wiki tu unajua.... au unaogopa maji [emoji23][emoji23]
Nimechelewa kufika ushapata mume humu au bado? kama bado nahitaji kalio hilo la mtoto wa kimakonde naona limenona kwa lishe ya korosho.Higbjnvbbj
ππππaache kazi afanye kazi daaahUwiiiii naogopa yaani sijui nitawezaje huyo wa kunifunza aache kazi afanye kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani insta babe ajue kabisa hiyo siku anasimamisha kila kitu ni kumfundisha shunie tu mpaka ajue kuswimm mana itakuwa kazi sana yaani nawaza tu nilivyo muoga yaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aache kazi afanye kazi daaah
πππππ basi insta babe itabidi uanze kujifunza na vile viboya vya kuvaa mabegan hadi ukizoea kuelea ndio uvivue π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani insta babe ajue kabisa hiyo siku anasimamisha kila kitu ni kumfundisha shunie tu mpaka ajue kuswimm mana itakuwa kazi sana yaani nawaza tu nilivyo muoga yaan
Hahhahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi insta babe itabidi uanze kujifunza na vile viboya vya kuvaa mabegan hadi ukizoea kuelea ndio uvivue [emoji23]