Wamakonde wa kiume sisi ni MAHANDSOME sana

Wamakonde wa kiume sisi ni MAHANDSOME sana

Daaah! Ila mnaamini kwenye vitaulo sana. Hilo halipingiki mkuu, japo pia huku hatuosheani na vipicha kama insta na FB. Huku anonymous rule inakuwa applied isipokuwa kama unataka kuwa verified user[emoji23][emoji23]
Na ukiwa verified si maana ya kuwa utakuwa unatuwekea vijuso ili wanaume wenzio tukuthaminishe. Haijakaa kiumeni.
Ndugu zenu vipi hawa cute b [emoji16]
 
Ma mende kweli wamepungua jf,zamani ingekua wanakugombania PM huku dau likiongezeka
 
Back
Top Bottom