superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 53
hii imetulia sana , acha amsigine mama mkwe c unajua lzm akiingia ndani atamtenda bibie kwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo ni mambo ya kishetani tu, shetani siku zote ni mtesaji, mharibifu na mara zote hufanya mambo yaonekane ya kawaida tu maana akija waziwazi ni nani atakaye mkubalia??????????? Yote haya ni hayo hayo ya ukeketaji - (wewe unayesoma) umesoma, unajua ktk Biology kila kiungo kina umuhimu wake vipi umpe kilema mwenzio pasipo ridhaa yake????!!!!!Ati asiwe na hamu na wanaume, mbona hao wenye mila hiyo malaya wakubwa!!!! maana hata ktk tendo la ndoa hawafikii kilele mara nyingi sababu sensetive genital parts zimeondolewa, ni ufinyu wa kifikra tu , Angalia mila hizo zinakotumika utaona hata ktk mambo mengine kuna ukandamizaji mkubwa kwa wanawake. Nani mjini hapa ambaye angemtaka mwanamke aliyekeketwa kama angelijua kabla ya kumuoa??????????!!!!!
ebufikiria wakati wa uchumba mamkwe alikuwa akuimaind alafu siku ya siku unaambiwa umkanyage yani sipati picha lazima hii mila utaifuraia hyo siku mana utakandamiza kizenchi mpaka aipate fresh
Hii mila ni nzuri sana,ninavyoambiwa na hawa wenyenyewe wanaolala chini ni akina shangazi ,mawifi na wengine mama mkwe nadra sana kuwa ktk msafara anakuwa high table na hawa watu wana mila za heshima sana hawezi kumkanyanyaga mama mkwe wake na lengo hapo ni kumwonyesha bibi harusi anakubaliwa na kupokelewa na upande wa pili hasa mawifi na shangazi aone anapokelewa kama malkia ili akiingia awatendee kwa ukarimu kama walivyompokea kwa kukubali kumbeba juu yao.Nilishashuhudia ndoa huko kijijini hawakutumia gari,walitengeneza macela ta vit vya kulala vya kizamani wakapamba vizuri,maharusi wakabebwa na watu kwa kupokezana toka church mpaka ukumbini;it was verry colourfullsipati picha.lol
Hii mila ni nzuri sana,ninavyoambiwa na hawa wenyenyewe wanaolala chini ni akina shangazi ,mawifi na wengine mama mkwe nadra sana kuwa ktk msafara anakuwa high table na hawa watu wana mila za heshima sana hawezi kumkanyanyaga mama mkwe wake na lengo hapo ni kumwonyesha bibi harusi anakubaliwa na kupokelewa na upande wa pili hasa mawifi na shangazi aone anapokelewa kama malkia ili akiingia awatendee kwa ukarimu kama walivyompokea kwa kukubali kumbeba juu yao.Nilishashuhudia ndoa huko kijijini hawakutumia gari,walitengeneza macela ta vit vya kulala vya kizamani wakapamba vizuri,maharusi wakabebwa na watu kwa kupokezana toka church mpaka ukumbini;it was verry colourfull
Well said Jerome kama ulikuwepo hiyo ni mila tu ambayo mashangazi na mawifi wanalala chini na kuacha bibi harusi apite juu ya migoongo yao kama kapeti hivi na ni mila tu ya kumuenzi bibi harusi, ni sawa na Masiha alipewa mwana punda na kutandikiwa matawi ya mitende ili apite juu sema sisi wamakua tunatumia mashangazi na mawifi kumkaribisha mke mimi mwenyewe niliifanya hiyo kwenye my harusi yanguHii mila ni nzuri sana,ninavyoambiwa na hawa wenyenyewe wanaolala chini ni akina shangazi ,mawifi na wengine mama mkwe nadra sana kuwa ktk msafara anakuwa high table na hawa watu wana mila za heshima sana hawezi kumkanyanyaga mama mkwe wake na lengo hapo ni kumwonyesha bibi harusi anakubaliwa na kupokelewa na upande wa pili hasa mawifi na shangazi aone anapokelewa kama malkia ili akiingia awatendee kwa ukarimu kama walivyompokea kwa kukubali kumbeba juu yao.Nilishashuhudia ndoa huko kijijini hawakutumia gari,walitengeneza macela ta vit vya kulala vya kizamani wakapamba vizuri,maharusi wakabebwa na watu kwa kupokezana toka church mpaka ukumbini;it was verry colourfull
hayo ni mambo ya kishetani tu, shetani siku zote ni mtesaji, mharibifu na mara zote hufanya mambo yaonekane ya kawaida tu maana akija waziwazi ni nani atakaye mkubalia??????????? Yote haya ni hayo hayo ya ukeketaji - (wewe unayesoma) umesoma, unajua ktk Biology kila kiungo kina umuhimu wake vipi umpe kilema mwenzio pasipo ridhaa yake????!!!!!Ati asiwe na hamu na wanaume, mbona hao wenye mila hiyo malaya wakubwa!!!! maana hata ktk tendo la ndoa hawafikii kilele mara nyingi sababu sensetive genital parts zimeondolewa, ni ufinyu wa kifikra tu , Angalia mila hizo zinakotumika utaona hata ktk mambo mengine kuna ukandamizaji mkubwa kwa wanawake. Nani mjini hapa ambaye angemtaka mwanamke aliyekeketwa kama angelijua kabla ya kumuoa??????????!!!!!
raha sana kutembea juu ya migongo ya watu badala ya zuria
hayo ni mambo ya kishetani tu, shetani siku zote ni mtesaji, mharibifu na mara zote hufanya mambo yaonekane ya kawaida tu maana akija waziwazi ni nani atakaye mkubalia??????????? Yote haya ni hayo hayo ya ukeketaji - (wewe unayesoma) umesoma, unajua ktk Biology kila kiungo kina umuhimu wake vipi umpe kilema mwenzio pasipo ridhaa yake????!!!!!Ati asiwe na hamu na wanaume, mbona hao wenye mila hiyo malaya wakubwa!!!! maana hata ktk tendo la ndoa hawafikii kilele mara nyingi sababu sensetive genital parts zimeondolewa, ni ufinyu wa kifikra tu , Angalia mila hizo zinakotumika utaona hata ktk mambo mengine kuna ukandamizaji mkubwa kwa wanawake. Nani mjini hapa ambaye angemtaka mwanamke aliyekeketwa kama angelijua kabla ya kumuoa??????????!!!!!
hayo ni mambo ya kishetani tu, shetani siku zote ni mtesaji, mharibifu na mara zote hufanya mambo yaonekane ya kawaida tu maana akija waziwazi ni nani atakaye mkubalia??????????? Yote haya ni hayo hayo ya ukeketaji - (wewe unayesoma) umesoma, unajua ktk Biology kila kiungo kina umuhimu wake vipi umpe kilema mwenzio pasipo ridhaa yake????!!!!!Ati asiwe na hamu na wanaume, mbona hao wenye mila hiyo malaya wakubwa!!!! maana hata ktk tendo la ndoa hawafikii kilele mara nyingi sababu sensetive genital parts zimeondolewa, ni ufinyu wa kifikra tu , Angalia mila hizo zinakotumika utaona hata ktk mambo mengine kuna ukandamizaji mkubwa kwa wanawake. Nani mjini hapa ambaye angemtaka mwanamke aliyekeketwa kama angelijua kabla ya kumuoa??????????!!!!!
kamkanyaga pabaya na skuna zake huyu mama mnene