Wamama kutembea na vijana ni uungwana?

Wamama kutembea na vijana ni uungwana?

Leo fimbo yangu inachapa moja kwa moja hawa wahusika wenye tabia hii chafu. Unakuta MJIMAMA miaka hata 50 unatembea na kijana wa miaka hata 25 bila hata aibu, ukimwuliza eti "vijana wanajua kazi"
emoji23.png
. Sasa kama wanajua kazi si uwaache wakajenge taifa?
Kuna mbunge mmoja kwenye awamu ya 4 alikuwa anaondoka na dogo mmoja mwenye 20s yoa sujui aliishia wapi
 
ukimwuliza eti "vijana wanajua kazi"
emoji23.png
.
.......and the vise versa is true,
hamuwapeleki moto hawa wamama, genye zinawazidia baadae zinageuka hasira zisizoisha, visirani chungu nzima, wanatupayukia ma-ofcn..... madogo nasisitiza pelekeni mioto zaidi!
 
Mimama mitamu sana na inajua kunyumbulika,nilikuwa na Limama flani hivi Huwa linaniambia tangulia Kwa mbele naona aibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii mbna mabwakuuu.
 
Kwani sisi vijana tumelalamika? Tuache na hao wamama ndo size yetu
 
.......and the vise versa is true,
hamuwapeleki moto hawa wamama, genye zinawazidia baadae zinageuka hasira zisizoisha, visirani chungu nzima, wanatupayukia ma-ofcn..... madogo nasisitiza pelekeni mioto zaidi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom