Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Labda nianze kunywa pombe. Ila na akili zangu timamu, siwezi kurudi pale...sio kwa ubaya lakini hata wewe usingeweza 😅Hivi lile jimama lako la buguruni hujarudiana nalo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nianze kunywa pombe. Ila na akili zangu timamu, siwezi kurudi pale...sio kwa ubaya lakini hata wewe usingeweza 😅Hivi lile jimama lako la buguruni hujarudiana nalo?
Kuna mbunge mmoja kwenye awamu ya 4 alikuwa anaondoka na dogo mmoja mwenye 20s yoa sujui aliishia wapiLeo fimbo yangu inachapa moja kwa moja hawa wahusika wenye tabia hii chafu. Unakuta MJIMAMA miaka hata 50 unatembea na kijana wa miaka hata 25 bila hata aibu, ukimwuliza eti "vijana wanajua kazi". Sasa kama wanajua kazi si uwaache wakajenge taifa?![]()
Poleni nani ??Eeh 😳🙆 poleni. Ila umefunguka!
@MAWEED umetishaWewe utakua ulilitongoza limama likakukataa,usituletee hasira zako hapa
@Intelligent businessman umemkazia sana msameheAcha kuzingua wewe, kasome vizuri[emoji2][emoji1787]
Hao wanaoliwa na ninyi mnaokereka na huo mloPoleni nani ??
Haya kaka, uko gud lakini.@Intelligent businessman umemkazia sana msamehe
.......and the vise versa is true,ukimwuliza eti "vijana wanajua kazi".![]()
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan vijana wamejiajiri nyie mnawasumbua? Eb waacheni bn
SikuelewiHao wanaoliwa na ninyi mnaokereka na huo mlo
😂😂🙌Wore= wote[emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni wewe mkuu unayesema wala sio hao uliowataja hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii mbna mabwakuuu.Mimama mitamu sana na inajua kunyumbulika,nilikuwa na Limama flani hivi Huwa linaniambia tangulia Kwa mbele naona aibu
Hi boo😘😂Kwanini sisi vijana tumelalamika? Tuache na hao wamama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marioo kina Natafuta Ajira watakushukia kama mwewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......and the vise versa is true,
hamuwapeleki moto hawa wamama, genye zinawazidia baadae zinageuka hasira zisizoisha, visirani chungu nzima, wanatupayukia ma-ofcn..... madogo nasisitiza pelekeni mioto zaidi!