Wamarekani waliotembea East Africa wakubali DSM ni NY ya EA, wakubali Magufuli ni shujaa

Wamarekani waliotembea East Africa wakubali DSM ni NY ya EA, wakubali Magufuli ni shujaa

Sijawahi kuona Youtubers wakitembelea nchi halafu waanze kuiponda.

Mashabiki wa Jiwe mmekuwa matahira kabisa, mko very obsessed na kusifiwa.

Yaani hata hata ukisifiwa na watu milioni 50, ila mkikosolewa na mtu mmoja mnaugua kabisa
Hahahaha, umesahahu yule Youtuber aliyesema Nairobi ni chafu sana na kuna vibaka kila kona na hakuna maji ya kutosha , au tukuwekee umsikilize?
 
Safi sana, baadhi ya watz hasa wa kwenye mitandao hatuoni mema yanayofanywa na Magufuli, kwa video hii wajifunze kuona sasa

..tuitangaze Tz, badala ya kumtangaza Magufuli.

..vijana wa Tanzania mmeshupaa kumtangaza Magufuli, halafu Wakenya wanapiga pesa kwa kutangaza kilimanjaro na serengeti ziko Kenya.

cc MK254
 
..tuitangaze Tz, badala ya kumtangaza Magufuli.

..vijana wa Tanzania mmeshupaa kumtangaza Magufuli, halafu Wakenya wanapiga pesa kwa kutangaza kilimanjaro na serengeti ziko Kenya.

cc MK254

Kwani wewe kwa sasa hujui ya kuwa Tanzania inafahamika zaidi duniani kwa ajili ya Magufuli.
 
Kwani wewe kwa sasa hujui ya kuwa Tanzania inafahamika zaidi duniani kwa ajili ya Magufuli.

..tunafahamika zaidi kutokana na vivutio vyetu.

..ila tunapoteza muda kumtangaza Magu badala ya kutangaza vivutio ili tupige pesa.

..hivi unadhani Wakenya wana muda wa kumlamba miguu Uhuru Kenyatta?
 
Sijawahi kuona Youtubers wakitembelea nchi halafu waanze kuiponda.

Mashabiki wa Jiwe mmekuwa matahira kabisa, mko very obsessed na kusifiwa.

Yaani hata hata ukisifiwa na watu milioni 50, ila mkikosolewa na mtu mmoja mnaugua kabisa
Kuna YouTuber mmoja aliingia pale Kilimanjaro hotel akachukua chumba deluxe luxury ila alipoingia akacheka sana akawa anashangaa anasema mbona this is very basic?Oh well that's luxury in Africa
 
..tunafahamika zaidi kutokana na vivutio vyetu.

..ila tunapoteza muda kumtangaza Magu badala ya kutangaza vivutio ili tupige pesa.

..hivi unadhani Wakenya wana muda wa kumlamba miguu Uhuru Kenyatta?

Binafsi sioni kama ni mantiki kujilinganisha na Kenya, wakati kuna akina Botswana, Namibia na sasa Angola wanafanya vizuri kwa ukimya, ustaarabu na uhakika. Hii mambo ya kujilinganisha na wafu kina kenya wala siko interested.
..tunafahamika zaidi kutokana na vivutio vyetu.

..ila tunapoteza muda kumtangaza Magu badala ya kutangaza vivutio ili tupige pesa.

..hivi unadhani Wakenya wana muda wa kumlamba miguu Uhuru Kenyatta?

Nashindwa hata nisemeje, usipende kufananisha Tanzania na vitu vya hovyo. Ningekuwa upande wako iwapo ungesema tuige mifano mizuri kama Botswana, Namibia au hata Angola. Nchi ambazo zinafanya maendeleo endelevu, tena kwa utulivu mkubwa. Hizo issue za kina kenyatta hazitatusaidia.
 
Binafsi sioni kama ni mantiki kujilinganisha na Kenya, wakati kuna akina Botswana, Namibia na sasa Angola wanafanya vizuri kwa ukimya, ustaarabu na uhakika. Hii mambo ya kujilinganisha na wafu kina kenya wala siko interested.


Nashindwa hata nisemeje, usipende kufananisha Tanzania na vitu vya hovyo. Ningekuwa upande wako iwapo ungesema tuige mifano mizuri kama Botswana, Namibia au hata Angola. Nchi ambazo zinafanya maendeleo endelevu, tena kwa utulivu mkubwa. Hizo issue za kina kenyatta hazitatusaidia.
..what do you gain kwa kuwaita Wakenya wafu?

..tatizo lako una CHUKI na Wakenya.

..chuki inawafanya muwe vipofu wa mafanikio ya jirani/ndugu zenu, na kupelekea kushindwa kujifunza na kujiongeza.

..projections za GDP ya Kenya ni usd 85 billion, Tanzania ni usd 55 billion.

..Do you really believe Tanzanians have nothing to learn frm Kenyans? And you even dare call the wafu!!

..Sikiliza ndugu yangu, Wakenya ni majirani zetu. Kenya ndio wateja wetu wakubwa wa bidhaa tunazozalisha. Kwasababu hizo tunatakiwa tuishi nao vizuri.

..Pia Wakenya wanayo ya kujifunza toka Tanzania. Vilevile Watanzania wanaweza kujifunza kutoka kwa Wakenya. Hakuna aliyekamilika. Sote tuna mambo mazuri na mabaya. Kwa hiyo tuchukue yale mazuri toka kwa wenzetu. Na wao wachukue yale mazuri toka kwetu.

..Busara ni vizuri kujifunza toka Kenya, pamoja na nchi ulizozitaja kwamba zinakuja juu, kama Botswana, Namibia, na Angola.
 
..what do you gain kwa kuwaita Wakenya wafu?

..tatizo lako una CHUKI na Wakenya.

..chuki inawafanya muwe vipofu wa mafanikio ya jirani/ndugu zenu, na kupelekea kushindwa kujifunza na kujiongeza.

..projections za GDP ya Kenya ni usd 85 billion, Tanzania ni usd 55 billion.

..Do you really believe Tanzanians have nothing to learn frm Kenyans? And you even dare call the wafu!!

..Sikiliza ndugu yangu, Wakenya ni majirani zetu. Kenya ndio wateja wetu wakubwa wa bidhaa tunazozalisha. Kwasababu hizo tunatakiwa tuishi nao vizuri.

..Pia Wakenya wanayo ya kujifunza toka Tanzania. Vilevile Watanzania wanaweza kujifunza kutoka kwa Wakenya. Hakuna aliyekamilika. Sote tuna mambo mazuri na mabaya. Kwa hiyo tuchukue yale mazuri toka kwa wenzetu. Na wao wachukue yale mazuri toka kwetu.

..Busara ni vizuri kujifunza toka Kenya, pamoja na nchi ulizozitaja kwamba zinakuja juu, kama Botswana, Namibia, na Angola.

GDP ain't nothing but a number.
Ukienda kenya hiyo GDP ni hekaya tu.
Nenda Namibia, Botswana, Angola, utaona maana ya maendeleo ya watu.
Kenya wanaongoza kwa kuporomoka majengo tu.
😀😆😁
 
MATAGA with their foolish minds will keep entertaining us😂😂 Naomba muendele vivyo hivo (kuwa wajinga). Sometimes it's good to let a fool have is way
 
Back
Top Bottom