Wamarekani waliotembea East Africa wakubali DSM ni NY ya EA, wakubali Magufuli ni shujaa

Wamarekani waliotembea East Africa wakubali DSM ni NY ya EA, wakubali Magufuli ni shujaa

..tunafahamika zaidi kutokana na vivutio vyetu.

..ila tunapoteza muda kumtangaza Magu badala ya kutangaza vivutio ili tupige pesa.

..hivi unadhani Wakenya wana muda wa kumlamba miguu Uhuru Kenyatta?
Ama kweli ujinga hauuwi lkn unatesa sana,, ww daaa!! Jitathmini mwamba, unatia aibu
 
..what do you gain kwa kuwaita Wakenya wafu?

..tatizo lako una CHUKI na Wakenya.

..chuki inawafanya muwe vipofu wa mafanikio ya jirani/ndugu zenu, na kupelekea kushindwa kujifunza na kujiongeza.

..projections za GDP ya Kenya ni usd 85 billion, Tanzania ni usd 55 billion.

..Do you really believe Tanzanians have nothing to learn frm Kenyans? And you even dare call the wafu!!

..Sikiliza ndugu yangu, Wakenya ni majirani zetu. Kenya ndio wateja wetu wakubwa wa bidhaa tunazozalisha. Kwasababu hizo tunatakiwa tuishi nao vizuri.

..Pia Wakenya wanayo ya kujifunza toka Tanzania. Vilevile Watanzania wanaweza kujifunza kutoka kwa Wakenya. Hakuna aliyekamilika. Sote tuna mambo mazuri na mabaya. Kwa hiyo tuchukue yale mazuri toka kwa wenzetu. Na wao wachukue yale mazuri toka kwetu.

..Busara ni vizuri kujifunza toka Kenya, pamoja na nchi ulizozitaja kwamba zinakuja juu, kama Botswana, Namibia, na Angola.
Yaani ww akili zako ni kama parachichi,, huelewi nini sasa mbona unakaza,, huu ni mgogoro wa kisera zenye mtazamo wa kisiasa sasa na ww unakomaa kutoa mawazo yenye lengo la kutia chuki kati ya wananchi wa nchi fulani na nchi fulani au hukusoma ulikwepa umande wakati wenzio wanakwenda shule ww unamalizia makande yaliyosalia usiku mpaka akili ikadumaa
 
Yaani ww akili zako ni kama parachichi,, huelewi nini sasa mbona unakaza,, huu ni mgogoro wa kisera zenye mtazamo wa kisiasa sasa na ww unakomaa kutoa mawazo yenye lengo la kutia chuki kati ya wananchi wa nchi fulani na nchi fulani au hukusoma ulikwepa umande wakati wenzio wanakwenda shule ww unamalizia makande yaliyosalia usiku mpaka akili ikadumaa

Jukwa limekuwa lakufedhehesha wenye matiki, hekima na busara

Sasa wewe wakumponda kweli Joka kuu!

Mnalifanya jukwaa kukosa Nidham na kudhalilisha?

Shame on you mkuu.
 
Jukwa limekuwa lakufedhehesha wenye matiki, hekima na busara

Sasa wewe wakumponda kweli Joka kuu!

Mnalifanya jukwaa kukosa Nidham na kudhalilisha?

Shame on you mkuu.

..asante ndugu.

..huyo anajidhalilisha mwenyewe.

..Kanuni yangu hapa JF ni kutokujibu mtu anayenitukana, au nikimjibu basi hufanya hivyo kwa heshima na uungwana.
 
Back
Top Bottom