Wamarekani Wamemtemea Nyongo Rais Biden

Wamarekani Wamemtemea Nyongo Rais Biden

Ndengaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,831
Reaction score
14,259
Kupitia Ukurasa wa Instagram, Ikulu ya Marekani ilipost picha ya Rais wa Marekani akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ukraine, baada ya kufanya ziara ya kushtukiza na iliyokuwa ya siri kubwa mpaka kufika, picha hii ilifuatiwa na maneno kwamba Ukraine bado ipo Imara na hakuna wakuizuia Marekani kusimama na Ukraine (Tafsiri isiyo rasmi)

Screenshot_20230224-220940_Instagram Lite.jpg


Hata Hivyo, maoni ya Wananchi wa Marekani hayakubaliani na msimamo wa Ikulu ya Marekani; Maoni yalioongoza yakiwa na ujumbe usemao, Serikali iache kupoteza fedha za walipa kodi na hicho inachofanywa itasababisha Vita ya Tatu ya Dunia.

Maoni mengine yalisema tumechoka na utawala huu kutuma fedha zetu tulizozipata kwa shida kwenda Ukraine; Jenga Marekani kwanza (Akimaanisha sera ya Raisi aliopita Trump, yakuijenga America kwanza).

Mwingine akilalamika Rais kushindwa kutembelea Ohio kufuatia Janga la kumwagika kwa kemikali ambalo limesababisha Raia zaidi ya 5000 kuhamishwa na vifo vya wanyama zaidi ya 3000.
Screenshot_20230224-220928_Instagram Lite.jpg

Ikumbukwe uvaamizi wa Urusi nchini Ukraine unatimiza mwaka mmoja sasa na Marekani imekuwa ikiongoza mapambano ya kuipinga Urusi ikiwemo kuiwekea vikwazo mbalimbali vya kiuchumi vikwazo ambavyo sio tu vimeyumbisha uchumi wa Urusi bali Dunia nzima kutokana na kupanda kwa gharama za nishati na nafaka ambavyo asilimia kubwa vilikua vinatoka Urusi na Ukraine.

Ni yapi Maoni yako ?
 
PUTIN ALISEMA URUSI IKITOLEWA USHIRIKI WA KOMBE LA DUNIA BASI HALIFANYIKA, MATOKEO YAKE LIMEFANYIKA NA AMEKAA KIMYAAA🤣🤣🤣
ANGEJARIBU AONE MOTO
 
Hiyo vita ni urusi na marekani akishirikiana na washirika wake wa NATO. Ukiambiwa vita kuu ya tatu inaweza kutokea kizembe endapo silaha kali zaidi zitaanza kutumika. Fikiria kama urusi ataona ni ushenzi marekani kujiingiza ukraine ikaana liwalo na liwe ikaanza mashambulizi makali. Mara paap NATO nao wakaingia rasmi vitani. Hiyo vita itasambaa ulaya yote, ikumbukwe nyuma urusi kuna china, iran, korea kaskazini na kwa mbali india imo. Labda hii vita iishe ki namna bila kuleta madhara makubwa duniani
 
Hao ndio walihusika na uvamizi wa bunge January 6 mwaka jana wakati wa certification ya matokeo ya Rais Biden, walitaka kufanya mapinduzi, kuua wabunge ikiwa pamoja na kumnyonga makamu wa Rais wa kipindi hiko Mike Pence aliyekuwa na wajibu kusimamia certification ya kura.

Wengine wao sasa hivi wanataka Marekani igawanywe kati ya Republicans na Democrats na Democrats wasiruhusiwe kupiga kura.

Mfuatile mbunge anaitwa Marjorie Taylor Greene(MTG) na Extreme MAGA wenzake kama 10 utaelewa vizuri.
Hao Republican sio wamarekani?
 
Kupitia Ukurasa wa Instagram, Ikulu ya Marekani ilipost picha ya Rais wa Marekani akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ukraine, baada ya kufanya ziara ya kushtukiza na iliyokuwa ya siri kubwa mpaka kufika, picha hii ilifuatiwa na maneno kwamba Ukraine bado ipo Imara na hakuna wakuizuia Marekani kusimama na Ukraine (Tafsiri isiyo rasmi)

View attachment 2529215

Hata Hivyo, maoni ya Wananchi wa Marekani hayakubaliani na msimamo wa Ikulu ya Marekani; Maoni yalioongoza yakiwa na ujumbe usemao, Serikali iache kupoteza fedha za walipa kodi na hicho inachofanywa itasababisha Vita ya Tatu ya Dunia.

Maoni mengine yalisema tumechoka na utawala huu kutuma fedha zetu tulizozipata kwa shida kwenda Ukraine; Jenga Marekani kwanza (Akimaanisha sera ya Raisi aliopita Trump, yakuijenga America kwanza).

Mwingine akilalamika Rais kushindwa kutembelea Ohio kufuatia Janga la kumwagika kwa kemikali ambalo limesababisha Raia zaidi ya 5000 kuhamishwa na vifo vya wanyama zaidi ya 3000.
View attachment 2529217
Ikumbukwe uvaamizi wa Urusi nchini Ukraine unatimiza mwaka mmoja sasa na Marekani imekuwa ikiongoza mapambano ya kuipinga Urusi ikiwemo kuiwekea vikwazo mbalimbali vya kiuchumi vikwazo ambavyo sio tu vimeyumbisha uchumi wa Urusi bali Dunia nzima kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta na nafaka ambavyo asilimia kubwa vilikua vinatoka Urusi na Ukraine.

Ni yapi Maoni yako ?
Hakuna mtu mwenye akili tumamu atawaunga mkono Ukraine, nakuoa sababu kubwa kwanini

1.) Japo Ukraine anasema anao uhuru (Sovereignity) wa kujiunga na NATO , atambue kwamba uhuru wa nchi moja unaishia oale usalama wa nchi nyingine unapoanzia. Kitendo cha Ukraine kujiunga na NATO kitaipa US haki ya kwenda kufunga silaha za nyuklia nchini Ukraine ambayo ni uani kabisa na Russia, sasa Russia hawezi kukubali US aweke silaza za nyuklia uani kwake, kwamba likitokea la kutokea US anafikisha mabomu yake Russia ndani ya sekunde tu, wakati yeye Russia hadi yafike US sio leo.., means US atakuwa na upoer hand, sasa nikuhakikishie.., kabla Russia hajakubali hilo kutokea, hii dunianitakuwa imeshasambaratishwa na haipo tena kwenye solar system.
 
PUTIN ALISEMA URUSI IKITOLEWA USHIRIKI WA KOMBE LA DUNIA BASI HALIFANYIKA, MATOKEO YAKE LIMEFANYIKA NA AMEKAA KIMYAAA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ANGEJARIBU AONE MOTO

Stupid [emoji90]
 
Hakuna mtu mwenye akili tumamu atawaunga mkono Ukraine, nakuoa sababu kubwa kwanini

1.) Japo Ukraine anasema anao uhuru (Sovereignity) wa kujiunga na NATO , atambue kwamba uhuru wa nchi moja unaishia oale usalama wa nchi nyingine unapoanzia. Kitendo cha Ukraine kujiunga na NATO kitaipa US haki ya kwenda kufunga silaha za nyuklia nchini Ukraine ambayo ni uani kabisa na Russia, sasa Russia hawezi kukubali US aweke silaza za nyuklia uani kwake, kwamba likitokea la kutokea US anafikisha mabomu yake Russia ndani ya sekunde tu, wakati yeye Russia hadi yafike US sio leo.., means US atakuwa na upoer hand, sasa nikuhakikishie.., kabla Russia hajakubali hilo kutokea, hii dunianitakuwa imeshasambaratishwa na haipo tena kwenye solar system.

Unaona ehh
Yaani watu wa wanao chezea kisamvu ndio wako na Ukrain!
Mwamba Vladimir Putin atawa sakafia wote walahi
Soon and very soon!
 
Vipi kuhusu Finland kujiunga na NATO?
Hakuna mtu mwenye akili tumamu atawaunga mkono Ukraine, nakuoa sababu kubwa kwanini

1.) Japo Ukraine anasema anao uhuru (Sovereignity) wa kujiunga na NATO , atambue kwamba uhuru wa nchi moja unaishia oale usalama wa nchi nyingine unapoanzia. Kitendo cha Ukraine kujiunga na NATO kitaipa US haki ya kwenda kufunga silaha za nyuklia nchini Ukraine ambayo ni uani kabisa na Russia, sasa Russia hawezi kukubali US aweke silaza za nyuklia uani kwake, kwamba likitokea la kutokea US anafikisha mabomu yake Russia ndani ya sekunde tu, wakati yeye Russia hadi yafike US sio leo.., means US atakuwa na upoer hand, sasa nikuhakikishie.., kabla Russia hajakubali hilo kutokea, hii dunianitakuwa imeshasambaratishwa na haipo tena kwenye solar system.
 
Eti maoni ya Wamarekani, Wamarekani huanzia Bungeni, je hujui Bunge ndo kilipitisha?
 
Vipi kuhusu Finland kujiunga na NATO?
Muingiliano uliopo kati ya Ukraine na Urusi ni mkubwa sana, hata lugha zinaingiliana kiasi chake, hata undugu, waRusi wengi wana ndugu wa damu Ukraine, hivyo Ukraine na kama Urusi ndogo, kujiunga na NATO kunahatarisha usalama wa uRusi tofauti na Finland yenye mchangamano mdogo na uRusi
 
Kupitia Ukurasa wa Instagram, Ikulu ya Marekani ilipost picha ya Rais wa Marekani akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ukraine, baada ya kufanya ziara ya kushtukiza na iliyokuwa ya siri kubwa mpaka kufika, picha hii ilifuatiwa na maneno kwamba Ukraine bado ipo Imara na hakuna wakuizuia Marekani kusimama na Ukraine (Tafsiri isiyo rasmi)

View attachment 2529215

Hata Hivyo, maoni ya Wananchi wa Marekani hayakubaliani na msimamo wa Ikulu ya Marekani; Maoni yalioongoza yakiwa na ujumbe usemao, Serikali iache kupoteza fedha za walipa kodi na hicho inachofanywa itasababisha Vita ya Tatu ya Dunia.

Maoni mengine yalisema tumechoka na utawala huu kutuma fedha zetu tulizozipata kwa shida kwenda Ukraine; Jenga Marekani kwanza (Akimaanisha sera ya Raisi aliopita Trump, yakuijenga America kwanza).

Mwingine akilalamika Rais kushindwa kutembelea Ohio kufuatia Janga la kumwagika kwa kemikali ambalo limesababisha Raia zaidi ya 5000 kuhamishwa na vifo vya wanyama zaidi ya 3000.
View attachment 2529217
Ikumbukwe uvaamizi wa Urusi nchini Ukraine unatimiza mwaka mmoja sasa na Marekani imekuwa ikiongoza mapambano ya kuipinga Urusi ikiwemo kuiwekea vikwazo mbalimbali vya kiuchumi vikwazo ambavyo sio tu vimeyumbisha uchumi wa Urusi bali Dunia nzima kutokana na kupanda kwa gharama za nishati na nafaka ambavyo asilimia kubwa vilikua vinatoka Urusi na Ukraine.

Ni yapi Maoni yako ?
Hao wanapitwa Wananchi ni wajinga tuu wanakoishi Marekani kama kopo hawajui maana ya Marekani na sera yake ndio maana wanapuuzwa.
 
Back
Top Bottom