Du ndio maana Le Mutuz kakimbia maana hela ya kuzoa taka kuwalipia watoto ilikuwa inakata yote mpaka akaanza utapeli wa kuwaleta watu marekani kwa usd 300 ha ha ha ha you know! Hasheem Jipange usije kuwa kama Le Big Show baharia At NYC.
Mkuu sio vizuri unafanya kunichekesha asubui yote hii. Eti hela za kuzolea taka zilikua zinakata.
hahahaaaaa.....!!!!
Du ndio maana Le Mutuz kakimbia maana hela ya kuzoa taka kuwalipia watoto ilikuwa inakata yote mpaka akaanza utapeli wa kuwaleta watu marekani kwa usd 300 ha ha ha ha you know! Hasheem Jipange usije kuwa kama Le Big Show baharia At NYC.
Du ndio maana Le Mutuz kakimbia maana hela ya kuzoa taka kuwalipia watoto ilikuwa inakata yote mpaka akaanza utapeli wa kuwaleta watu marekani kwa usd 300 ha ha ha ha you know! Hasheem Jipange usije kuwa kama Le Big Show baharia At NYC.
hahaha,, subir atakuja sasa hiv kujibu
- Ndio maana nilienda shule ili niweze kuzungumza mwenyewe na bila kuogopa U know!!, Super Star Hasheem juzi alikuwa mgeni wa heshima kwenye my Instagram Party pale Mikochen it was koll man to have him there U know!~
Le Mutuz
Le big show bongo tambararez ha! ha! ha! mbebz Sintah yuko wapi?- Kaka unanivunja mbavu asubuhi huku bongo eti wewe ni mwanaume au mbebez maana huu umbeya ulioandika siamini unaweza kuandikwa na mtoto wa kiume U know, nilikimbia USA na nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia Tanzania au what? ha! ha! ha!
- Mpaka mtashika adabu, mtu akirudi bongo kutoka majuu akiwa sawa na maisha kama nilivyo ndio maneno yenu hayo mengi ya kujifariji na kubaki huko jela ya kujitakia, wewe unajua kwamba huku bongo ninakula bataz tena za uhakika so dawa ni kuniazishia umbeya mwanaume mzima unakuja kuandika maneno kama demu,
- Eti nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia bongo au what?
Le Mutuz
- Kaka unanivunja mbavu asubuhi huku bongo eti wewe ni mwanaume au mbebez maana huu umbeya ulioandika siamini unaweza kuandikwa na mtoto wa kiume U know, nilikimbia USA na nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia Tanzania au what? ha! ha! ha!
- Mpaka mtashika adabu, mtu akirudi bongo kutoka majuu akiwa sawa na maisha kama nilivyo ndio maneno yenu hayo mengi ya kujifariji na kubaki huko jela ya kujitakia, wewe unajua kwamba huku bongo ninakula bataz tena za uhakika so dawa ni kuniazishia umbeya mwanaume mzima unakuja kuandika maneno kama demu,
- Eti nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia bongo au what?
Le Mutuz
interesting Kiranga Nyani Ngabu......huyu dogo anajua hizi issue za child support?
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha
- Kaka unanivunja mbavu asubuhi huku bongo eti wewe ni mwanaume au mbebez maana huu umbeya ulioandika siamini unaweza kuandikwa na mtoto wa kiume U know, nilikimbia USA na nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia Tanzania au what? ha! ha! ha!
- Mpaka mtashika adabu, mtu akirudi bongo kutoka majuu akiwa sawa na maisha kama nilivyo ndio maneno yenu hayo mengi ya kujifariji na kubaki huko jela ya kujitakia, wewe unajua kwamba huku bongo ninakula bataz tena za uhakika so dawa ni kuniazishia umbeya mwanaume mzima unakuja kuandika maneno kama demu,
- Eti nilipokwenda ilikuwaje nilikimbia bongo au what?
Le Mutuz