Wamarekani wamshukia Hasheem Thabeet

Wamarekani wamshukia Hasheem Thabeet

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Jisomee mwenyewe madudu ya ndugu yetu. siyo wabongo, bali wamarekani wenyewe.
One BA reader dishes the tea on OKC Thunder player Hasheem Thabeet and his seemingly fairytale relationship with longtime girlfriend. Looks like things may not be as blissful as they seem. Read the Baller Mail below!

"I believe it's time he be exposed before another girl makes this horrible mistake! Hasheem Thabeet of the OKC Thunder. Him and his girlfriend of nearly 5 years Bethany (@lovequeenbee or @waterbirthbee) just had a son Prince about 4 months ago.

They are this little happy family and she acts like he's the perfect dad and boyfriend. Well not only does Hasheem have a 3 year old son whom he doesn't acknowledge with Meliqua (@melpillard) but he has a 9 month old son that he doesn't claim with Asha (@lolabvalentine). There are even rumors that there is another girl pregnant right now with his daughter!

This man barely gets tick time on the court and obviously just uses his job to go city to city raw dogging any girl that will let him. He's a horrible father. His girlfriend wants to fit in with the other Thunder WAGs. But in reality she got pregnant while his 2nd bm was pregnant. And Meliqua and Asha are not the first 2 girls he got pregnant outside of his relationship, the others just aborted the kids. Maybe his girlfriend felt left out.

I can't understand why any woman would lay down and risk having babies (or catching diseases) with this man, he barely makes 1 million dollars and his career will be ending soon.

I give Meliqua the most credit because at least she got popped when he was bringing in that #2 Draft pick check. The other chicks are just plain fools. Anyways ladies if his looks don't make you avoid opening your legs for him hopefully this info will."

I predict this will be another Baller crying broke over child support checks soon. Mark my words!
 
Kidume cha mbegu.

Ila mshkaji na ukiwembe wake inamaana hatumii kinga!!
 
Mwacheni aendelee kuingiza tu ovyo ye anadhani wale wamarekani wapuuzi tu!! Soon mtasikia wamempa ka Kesi kaku tia tia mimba ovyo!! Na hapo itakuwa mwanzo wa kurudi na bag Kama alivyo kwenda.
 
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha
 
It was a once in a life time opportunity,unfortunate our fellow Tanzanian took it for granted and he didn't go extra miles to maintain the status.

The dude got carried away with fame and totally forgot what brought him the fame in the first place. While most of the NBA players utilize their off season time to improve their game,this guy is always busy coming back to TZ for show off.

He forgets that age is his number one enemy,he surely needs a mentor now to prepare him for the worst future cause it's too late already

Poor him!!
 
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha

aiseee! hasherm mbona anjiharbia
 
Dah hiki kiingereza cha 'mmarekani' ni hatari mno. Isije kuwa ni mbongo mwenye fitna tu!
 
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha

Du ndio maana Le Mutuz kakimbia maana hela ya kuzoa taka kuwalipia watoto ilikuwa inakata yote mpaka akaanza utapeli wa kuwaleta watu marekani kwa usd 300 ha ha ha ha you know! Hasheem Jipange usije kuwa kama Le Big Show baharia At NYC.
 
Huyo Asha lazima atakua mbongo alishoboka akapigwa kitu
 
"I can't understand why any woman would lay down and risk having babies (or catching diseases) with this man
~~~~~~~~~
Hasheem si alikuwa na affairs na jokery,jokery na machache mtandao mpana!
 
Wa swanga bwana yani uzinzi watundikiwa kwenye drip na upo kwenye damu, sasa huyo mwache watamgawa kiuno mara 2 .
 
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha

Hamna sheria mbovu kama za usa.
Hakuna haki kwa mama wala mtoto.sana sana mtapelekwa kwa daktari wa kichaa akuangalieni na kesi miaka 5.
Na hio stori inaelekea ya kutoka bongo ukiangali kidhungu chenyewe kama cha form 6
 
Du ndio maana Le Mutuz kakimbia maana hela ya kuzoa taka kuwalipia watoto ilikuwa inakata yote mpaka akaanza utapeli wa kuwaleta watu marekani kwa usd 300 ha ha ha ha you know! Hasheem Jipange usije kuwa kama Le Big Show baharia At NYC.

Mkuu sio vizuri unafanya kunichekesha asubui yote hii. Eti hela za kuzolea taka zilikua zinakata.
 
Kwa mtu asiyeishi marekani hawezi kuelewa chochote maana ya child support!!!! Ila kwa ufupi wanaume wengi waliozaa watt na wanawake wanaoishi hapa marekani kisha wakakosana wanaishi maisha magumu kupita maelezo, karibu nusu ya mshahara unakatwa juu kwa juu na kupelekwa kwa mama wa watt!!!!na ni mpaka watt wavuke miaka 18, hivyo huyu jamaa Kama amefanya huu mchezo basi ni mtu wa ajabu sana!!!! Hapa marekani wanaume na wanawake tunaishi Kama paka na panya, 1 mistake 1 goal,wanawake wanalindwa na sheria kiasi kwamba wanaume katika taifa hili si chochote!!! Ukizaa na mwanamke hapa lzm uishi nae Kama Mungu, akikugeuzia kibao umekwisha

feminism @ work
 
Back
Top Bottom