Wamarekani watatu wameaga Dunia katika shambulio la kambi la jeshi la Simba

Wamarekani watatu wameaga Dunia katika shambulio la kambi la jeshi la Simba

Hivi askari wa marekani ukimuwahi risasi huwa hawafi,
Kwamba wao ni wagumu risasi haiiingii?
Kwanza, Watanzania waliokuwa wakisema KDF ni maembe mtasema nini kuhusu Marekani ambao wamepoteza watu watatu katika shambulio hili? Mtaita jeshi la Marekani maembe?
Pili, Hawa Wamarekani kwa nini walikataa Shabab kutangazwa kama kundi la ugaidi pale UN? Sasa ona matokeo ya siasa mbaya pale UN. Shabab watandikwe bila huruma. Natumai Marekani wamerudisha akili kichwani na watawacha siasa mbaya pale UN na kudeclare Shabab as a dangerous terrorist organisation.
Tatu, Mola alaze roho za walioaga mahali pema peponi

====

BREAKING: 1 US service member and 2 US Dept. of Defense contractors were killed, and 2 Dept. of Defense "members" injured, in attack at Manda Bay Airfield by al-Shabab terror group in Kenya - NBC News



Update on Lamu attack: US confirms three Americans killed, two injured - Citizentv.co.ke

Three American citizens were killed and two others wounded in Sunday’s Al Shabaab attack on a Kenyan military base in Manda Bay, Lamu County.

This according to a latest update from the US Africa Command, the body responsible for America’s military relations with other nations and regional organizations in Africa.

According to the US Africa Command, the deceased include one US Service member and two Department of Defence contractors.

On the other hand, the injured, who are reported to be in stable condition, are members of the Defense Department.

“Our thoughts and prayers are with the families and friends of our teammates who lost their lives. As we honour their sacrifice, let us also harden our resolve. Alongside our African and international partners, we will pursue those responsible for this attack and al-Shabaab who seeks to harm Americans and US interests,” said Commander of the US Africa Command, General Stephen Townsend.

“We remain committed to preventing al-Shabaab from maintaining a safe haven to plan deadly attacks against the US homeland, East African and international partners,” he added.

The US Africa Command further noted that the militants penetrated the military base compound but were repulsed by Kenya Defence Forces and US soldiers.
Six contractor-operated aircraft were damaged in the attack that involved indirect and small arms fire, according to the US Command.

A statement issued by the Kenya Defence Forces on Sunday did not disclose the number of military casualties suffered but it revealed five terrorists had been killed.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofautisha neno kubishana na kulumbana, sipo tayari kubishana na watu njaa njaa, ila nipo tayari kulumbana kwa hoja za msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha blah blah nyingi. Unajiona cake na huwa unakesha kwenye jukwaa hili la Kenya wakati wakenya huwa hawana muda na hayo majukwaa yenu
mengine? Face the truth, level yako ni ya mihogo ya msituni.
 
Acha blah blah nyingi. Unajiona cake na huwa unakesha kwenye jukwaa hili la Kenya wakati wakenya huwa hawana muda na hayo majukwaa yenu
mengine? Face the truth, level yako ni ya mihogo ya msituni.
Wakenya mumejazana hapa JF kwasababu "Forums" zenu zimejaa ujinga, kuchukiana na ukabila, rudini katika forums zenu muone kama tutawafuata. Tanzania unites East Africa, while Kenya divides"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya mumejazana hapa JF kwasababu "Forums" zenu zimejaa ujinga, kuchukiana na ukabila, rudini katika forums zenu muone kama tutawafuata. Tanzania unites East Africa, while Kenya divides"

Sent using Jamii Forums mobile app
Jombaa, mlitushobokea wenyewe mlipotuwekea jukwaa letu hapa Jf. [emoji1] Anyway, naona kama internet inakukanganya kidogo, ni jf.com, sio jf.co.tz. Inafaa hata nyinyi pia mrudi kwenu Tz. Huku ni international sphere, sio kule kwenu Mbagala.
 
Jombaa, mlitushobokea wenyewe mlipotuwekea jukwaa letu hapa Jf. [emoji1] Anyway, naona kama internet inakukanganya kidogo, ni jf.com, sio jf.co.tz. Inafaa hata nyinyi pia mrudi kwenu Tz. Huku ni international sphere, sio kule kwenu Mbagala.
Hahahaha, ulishaona watanzania wakijazana "KoT", au watanzania wakiwa wapenzi wa Gormahiya au FC-Leopard kama wakenya walivyo wapenzi wa Yanga na Sumba?, acheni ukabila muwe kitu kimoja, vinginevyo mtaendelea kujazana hapa JF na kushabikia timu za Tanzania na wanamuziki WETU hadi mwisho wa dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Which unity are you talking about? Unity ya kuchinja albino?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, unity ya kuchinja Jaluo waliokimbilia kujificha ndani ya NYUMBA ya Mungu.

Hasira na chuki miongoni mwenu vimepitiliza kiasi cha kumpuuza hata Mungu, hamuheshimu wala kuogopa Mungu kwa sababu ya kuchukiana. Stupid Kenyans.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, ulishaona watanzania wakijazana "KoT", au watanzania wakiwa wapenzi wa Gormahiya au FC-Leopard kama wakenya walivyo wapenzi wa Yanga na Sumba?, acheni ukabila muwe kitu kimoja, vinginevyo mtaendelea kujazana hapa JF na kushabikia timu za Tanzania na wanamuziki WETU hadi mwisho wa dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
KOT sio mtandao wa kijamii, inamaanisha Kenyans On Twitter. 😀 Boss, ushamba utakuua. Tupo kwenye mitando yote. Kwenye hizi forums zote pia tupo, skyscrappercity, quora, nairaland. This is the net jombaa, sio uzinduzi wa watz, sote tupo hapa kama wageni. Leo ndio nasikia kutoka kwako kwamba wakenya huwa wanashabikia Yanga na Simba. Boss, Tz na michezo wapi na wapi? Yaani tuwagaragaze kwenye michezo yote chini ya jua alafu tuwashabikie pia? [emoji1]
 
KOT sio mtandao wa kijamii, inamaanisha Kenyans On Twitter. 😀 Boss, ushamba utakuua. Tupo kwenye mitando yote. Kwenye hizi forums zote pia tupo, skyscrappercity, quora, nairaland. This is the net jombaa, sio uzinduzi wa watz, sote tupo hapa kama wageni. Leo ndio nasikia kutoka kwako kwamba wakenya huwa wanashabikia Yanga na Simba. Boss, Tz na michezo wapi na wapi? Yaani tuwagaragaze kwenye michezo yote chini ya jua alafu tuwashabikie pia? [emoji1]
Hahahaha, hizo picha za wakenya hapo Machakosi wakishabikia Simba hujaziona?, sababu kubwa ni kwamba, timu zenu huko zimeanzishwa kwa misingi ya ukabila, Gormahiya, FC-Leapard na zinginezo, kwahiyo makabila yasiyokuwa na timu yameamua kufuatilia timu za Tanzania.

Kuhuju mitandao ya kijamii ni hivyo hivyo, ukigusa mtandao ambao sio kabila lako, lazima watakujua na utaanza kushambuliwa hadi utatoka. Tunapita sana katika majukwaa yenu mbalimbali, ninyi ni wabaguzi na wakabila sana, hapa JF ndio mpo free kwa sababu mpo na watanzania ambao tumestaarabika hatuzungumzi ukabila, hiyo ndio sababu wengi mnakimbilia JF. Acheni ukabila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, unity ya kuchinja Jaluo waliokimbilia kujificha ndani ya NYUMBA ya Mungu.

Hasira na chuki miongoni mwenu vimepitiliza kiasi cha kumpuuza hata Mungu, hamuheshimu wala kuogopa Mungu kwa sababu ya kuchukiana. Stupid Kenyans.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuwa wamejificha ndani ya Kiambaa church walikuwa hao hao Wakikuyu unaowachukia. Fanya research kidogo kabla ya kuropokwa.
 
Hahahaha, hizo picha za wakenya hapo Machakosi wakishabikia Simba hujaziona?, sababu kubwa ni kwamba, timu zenu huko zimeanzishwa kwa misingi ya ukabila, Gormahiya, FC-Leapard na zinginezo, kwahiyo makabila yasiyokuwa na timu yameamua kufuatilia timu za Tanzania. Kuhuju mitandao ya kijamii ni hivyo hivyo, ukigusa mtandao ambao sio kabila lako, lazima watakujua na utaanza kushambuliwa hadi utatoka. Hapa JF ndio mpo free kwa sababu mpo na watanzania ambao tumestaarabika hatuzungumzi ukabila, hiyo ndio sababu wengi mnakimbilia JF. Acheni ukabila.
Hii ndio tafsiri kamili ya hadithi za vijiweni. Jombaa, wanasema kwa kimombo, practise what you preach. Sio unakariri tu wakati wewe ndio mbaguzi hodari. Dhidi ya wakenya, wapinzani, watu wa kanda na dini zingine n.k. Utaruka, ushuke, uimbe, ukeshe humu ukimwaga povu, miaka nenda miaka rudi, ila hakuna pahali ambapo wakenya wanaenda. We are here to stay, deal with it!
 
Back
Top Bottom