Wamarekani wawekeza Tanzania $1.5B, Kenya only $353M, Uganda $42

Wamarekani wawekeza Tanzania $1.5B, Kenya only $353M, Uganda $42

The fact that Wakenya wana pesa ya kuinvest katika nchi yenu masikini na nyie hamna pesa ya kuinvest huku Kenya speaks for itself. Kila mtu anajua nyie masikini wa kutupwa hamna pesa ya kuinvest katika nchi nyingine.
 
The fact that Wakenya wana pesa ya kuinvest katika nchi yenu masikini na nyie hamna pesa ya kuinvest huku Kenya speaks for itself. Kila mtu anajua nyie masikini wa kutupwa hamna pesa ya kuinvest katika nchi nyingine.
Only Kunyaman can reason this way[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The fact that Wakenya wana pesa ya kuinvest katika nchi yenu masikini na nyie hamna pesa ya kuinvest huku Kenya speaks for itself. Kila mtu anajua nyie masikini wa kutupwa hamna pesa ya kuinvest katika nchi nyingine.
Hata Dangote hataki kusikia neno Kenya, hivi ni investor gani nwenye akili timamu atoke Tanzania aje kuwekeza pesa yake kwenye nchi ambayo ni "politically unstable, full of corruption, high crime rate, Terrorism and Nepotism?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata Dangote hataki kusikia neno Kenya, hivi ni investor gani nwenye akili timamu atoke Tanzania aje kuwekeza pesa yake kwenye nchi ambayo ni "politically unstable, full of corruption, high crime rate, Terrorism and Nepotism?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tu kwamba hamna pesa ya kuwekeza. Hata Uganda hamjawekeza ilhali sisi tumewekeza sana. Vile vile South Sudan tumewekeza sana. Nyie pesa hio ya kuwekeza hamna.
 
Sema tu kwamba hamna pesa ya kuwekeza. Hata Uganda hamjawekeza ilhali sisi tumewekeza sana. Vile vile South Sudan tumewekeza sana. Nyie pesa hio ya kuwekeza hamna.
Kwahiyo hata Dangote Hana pesa?, huko kote ulikotaja hajawekeza, hizo nchi zote ulizozitaja, Uganda, South Sudan na Kenya zinafana kwa rushwa, ukabila, crime rate, political violance na Nepotism. Hivi kweli Mo na Bakhresa wanashindwaje kuja kuwekeza Kenya?, Utajiri wao kwa pamoja ni sawa na matajiri 10 wa kwanza wa Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The fact that Wakenya wana pesa ya kuinvest katika nchi yenu masikini na nyie hamna pesa ya kuinvest huku Kenya speaks for itself. Kila mtu anajua nyie masikini wa kutupwa hamna pesa ya kuinvest katika nchi nyingine.
Kama hamtaki tuwekeze kwenu kisa mnaogopa competition kisa viongozi wenu wana interests kwenye uwekezaji sisi tufanyaje?

Screenshot_20220325-064543_Opera.jpg
 
Kwahiyo hata Dangote Hana pesa?, huko kote ulikotaja hajawekeza, hizo nchi zote ulizozitaja, Uganda, South Sudan na Kenya zinafana kwa rushwa, ukabila, crime rate, political violance na Nepotism. Hivi kweli Mo na Bakhresa wanashindwaje kuja kuwekeza Kenya?, Utajiri wao kwa pamoja ni sawa na matajiri 10 wa kwanza wa Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hamtaki tuwekeze kwenu kisa mnaogopa competition kisa viongozi wenu wana interests kwenye uwekezaji sisi tufanyaje?

View attachment 2163600
Hahaha naona mumeanza kujitetea ila mnaleta excuse kibao sana badala ya kukubali kwamba hamna uwezo wa kuwekeza hata Burundi. Kanchi kadogo, katoto kenu hako kanawashinda kuinvest, Kenya ndio mtawezana nayo?
 
Hahaha naona mumeanza kujitetea ila mnaleta excuse kibao sana badala ya kukubali kwamba hamna uwezo wa kuwekeza hata Burundi. Kanchi kadogo, katoto kenu hako kanawashinda kuinvest, Kenya ndio mtawezana nayo?
Mo ana viwanda kila nchi, Msumbiji, Zambia, Djibouti, na Bakhresa ana viwanda kila Kona, lakini hawawezi kuja Kenya kutokana na sababu nilizokutajia

Dangote is aware of corruption, insecurity and Nepotism of Nigeria, he doesn't like to suffer the same problems [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom