Wamarekani weusi wana ushindani mkubwa wa kiharakati ukilinganisha na Waafrika

Wamarekani weusi wana ushindani mkubwa wa kiharakati ukilinganisha na Waafrika

Lakini wanaipenda sana afrika. They are good and positive people..wanaipenda afrika kwa dhati kuliko hata wazungu wenyewe. Kwa sababu hata wenyewe wanasema afrika ndo destination yao.
Mazingira yanawafanya wawe juu kwetu kwa kila kitu.Uzaliwe USA halaf uwe kilaza kama upo timamu.
America ni developed nation hivyo raia wake wote lazima wawe na weledi mkubwa kulinganisha na mataifa mengine tukiwemo Africa.
Hata China imemepiga hatua kwa kuwatumia diaspora wa kichina waliokuwa USA.
Viongozi wa Africa wanahofia sana diadpora kwa sababu wanaweledi na exposure ya kutosha kuliko sisi waafrica.
USA inachota na kutumia maarifa ya waafrika( diaspora) kwa kiasi kikubwa sana huku sisi hatuna habari nao.
Nilishangaa kusoma kuwa MOSFET TRANSISTOR,security codes pamoja na teknolojia mbalimbali iligunduliwa na mmisiri.
Waafrika sasa tuamke tutumie damu zetu za nje kuleta maendeleo barani kwetu.
 
Hawa afro- america wenyewe wanasema waafrica hawatupendi na wanaendelea mbali zaidi wanasema afrika hawatakaa wafikie kwa sababu waafrica waliuza waafrica wenzao hawawezi kutupenda. Na ukiangalia ni kweli aibu kwa mababu zetu waliofanya huo ushenzi
Kwakweli wanatakiwa wafikirie mazingira ya wakati ule au hata sasa sisi kama Waafrika ni mchanganyiko wa Makabila mbalimbali

Waafrika tulikuwa tunapigana vita vya Kikabila na kiukoo tulikuwa hatufikirii kama hivi Leo

Ujio wa Wazungu na Waarabu walichofanya kuchochea uhasama baina ya Makabila na kuwaletea Watemi Silaha za moto ili mateka wewe wengi

Hao Ndugu zetu wanatakiwa Waache lawama halafu waibe teknolojia ya mzungu ili waje huku tuijenge Afrika
 
Nadhani umesahau kitu, mbona hao jamaa walipelekwa Liberia mpaka leo maendeleo ya nchi hiyo hayana tofauti na sehemu nyingine barani Afrika.
Liberia ilikuwa first class country miaka ya 70 mpaka 80 hta hotel ya nyota tano ya kwanza africa ilijengwa liberia, wenyeji wakaanza kuwaonea wivu black american na wakapanga mikakati mpaka wakaja kumuua rais

Tokea hpo Liberia ikaanza kuwa shithole baada ya wenyeji kushka madaraka.
 
Kwakweli wanatakiwa wafikirie mazingira ya wakati ule au hata sasa sisi kama Waafrika ni mchanganyiko wa Makabila mbalimbali

Waafrika tulikuwa tunapigana vita vya Kikabila na kiukoo tulikuwa hatufikirii kama hivi Leo

Ujio wa Wazungu na Waarabu walichofanya kuchochea uhasama baina ya Makabila na kuwaletea Watemi Silaha za moto ili mateka wewe wengi

Hao Ndugu zetu wanatakiwa Waache lawama halafu waibe teknolojia ya mzungu ili waje huku tuijenge Afrika
Elimu wanayopewa pia ni miseducation type of. So whta do yu expect. Hiyo inaitwa divide africa and african americans and rule both of them
 
Elimu wanayopewa pia ni miseducation type of. So whta do yu expect. Hiyo inaitwa divide africa and african americans and rule both of them
Kwakweli ukiangalia Leo faida za Biashara ya Utumwa ya Altlantiki sisi kama Waafrika tumejipatia Mataifa mpya mengi

Kuanzia Jamaica Barbados na Caribean yote kwa ujumla bila kuisahau Haiti

Sisi kama Waafrika tumeongezeka Duniani na kuwa na sauti inayoheshimika

Faida ni nyingi ila kuna watu hawazioni

Hawa Ndugu zetu Waamerika Weusi wanatakiwa waje kwa wengi huku kwenye Bara la Mababu zao ili waachane na tabia ya kulaumulaumu.
 
Ukisikia hotuba za kina Martin Luther King Jr ,Malcom X nk ndo unatajua hawa jamaa ni moto wa kuotea mbali

Sio hawa wakina prof Lumumba ambao wamekuwa wapiga kelele hovyo hovyo
Prof lumumba ni Panafricanist, ambae ni the likes of Martin Luther King jr, na akina Malcolm X..... Check your facts before you comment......
 
Kwakweli ukiangalia Leo faida za Biashara ya Utumwa ya Altlantiki sisi kama Waafrika tumejipatia Mataifa mpya mengi

Kuanzia Jamaica Barbados na Caribean yote kwa ujumla bila kuisahau Haiti

Sisi kama Waafrika tumeongezeka Duniani na kuwa na sauti inayoheshimika

Faida ni nyingi ila kuna watu hawazioni

Hawa Ndugu zetu Waamerika Weusi wanatakiwa waje kwa wengi huku kwenye Bara la Mababu zao ili waachane na tabia ya kulaumulaumu.
Ghana imewafungulia mipaka, wamarekani wengi wamerudi Ghana. Nikuongezee hapo juu brazili inawafrika wengi, Cuba,Equador nk
 
Ghana imewafungulia mipaka, wamarekani wengi wamerudi Ghana. Nikuongezee hapo juu brazili inawafrika wengi, Cuba,Equador nk
Hao wenzetu wa Afrika ya Magharibi wanasema kuwa vizazi vya Watumwa asili yao ni Afrika ya Magharibi

Sio mbaya kabisa ila sisi wa Mashariki tuwavutie waje wawekeze kwenye Elimu wako vizuri sana nimeona Walimu Wamarekani weusi wako vizuri sana
 
Nafikiri media ndo zina mpoteza. Kwa mtanzania mtu wa ovyo ni mtu anaepiga tattoo, anae rap, anaeongea slang hata kama ina make sense.
Na mtu wa maana ni anaevaa suti na kwenda kanisani hata kama kichwani ni 0.
Ngoja kwanza atueleze sababu zake, yeye kusema ni Watu wa Ovyo huenda anasababu zake

Au huenda hata anaishi nao huko kwao
 
Weusi hatujawahi kuwa watu tulionyooka hata siku moja
Give us power but we don't have mentally capacity to organized ourselves.
Give us power will use to promote tribalism.
Kiufupi waafrika tunakwamishana wenyewe
Wale kwenye historian wanaitwa mashujaa lakini ndo wameongoza kuumiza wenzao
Machemba wa kabila la wayao alikuwa anauza wananchi kwa waarabu ili tu apewe bunduki na vioo, shanga..!
Vile vile na mkwawa pia tunaambiwa shujaa lakini nae alikuwa anauza weusi wenzake..
Mfalme meneric wa pili (Ethiopia) nae alikuwa anafanya biashara ya utumwa.

Kuna wakati huwa nadhani wazungu waliweza kutuingia kutokana na watu Fulani weusi wachache vibaraka.
Tubadilike sisi weusi kwanza
Tuache undugu kwenye sekta muhimu kama hospitalinj.shuleni ,makazini na badala yake tufuate ethics na baada ya muda tutajua tumekosea wapi
 
Back
Top Bottom