Unapo muambia mtu ahame lazima umuandalie kwa kumpeleka,moja ya maandalizi ndio hayo.Kweli ni ukiukwaji wa haki mkubwa. Halfu wanaficha na wanafanya propaganda eti wanahama wenyewe .... sasa kama wanahama wenyewe kwa nini huko wanakokwenda wanawajengea nyumba .......!!
Ukiona hivyo ameshajengewa nyumba za kutosha njeTunaongozwa na psychopath, unahamisha raia 150 000 (laki moja na nusu) kwa nguvu kupisha uwindaji wa Otterlo Business Corporation OBC Emirat?
Mji wa Moshi wote una wakazi laki mbili fikiria Wamasai laki moja na nusu ni kama ufukuze wakazi karibia wote wa mji wa Moshi, This is insane, hata Wakoloni Wazungu hawakutufanyia hivi, pure evil!
----
Wamasai wanateswa sn awamu hiiKweli ni ukiukwaji wa haki mkubwa. Halfu wanaficha na wanafanya propaganda eti wanahama wenyewe .... sasa kama wanahama wenyewe kwa nini huko wanakokwenda wanawajengea nyumba .......!!
Anayekataa kuhama siyo RAIA Wa Tanzania kwamaana RAIA Wa Tanzania anajua kuwa katiba inasema aridhi ni Mali ya serikali inapotokea fursa ya taifa wahusia hufidiwa kile alichokiweka juu mfana hata hapa kwangu yakitokea madini chini na serikali kuhitaji Mimi nitadai fidia ya nyumba na vile niliotesha juu ngorongoro ni hifadhi ya taifa inapaswa kulindwa
Katiba ya familia yako sio ya Tanzania acha ujinga
Machozi yakifurika kikombe Cha ghadhabu, Alie juu atajibu.Tunaongozwa na psychopath, unahamisha raia 150 000 (laki moja na nusu) kwa nguvu kupisha uwindaji wa Otterlo Business Corporation OBC Emirat?
Mji wa Moshi wote una wakazi laki mbili fikiria Wamasai laki moja na nusu ni kama ufukuze wakazi karibia wote wa mji wa Moshi, This is insane, hata Wakoloni Wazungu hawakutufanyia hivi, pure evil!
----
Mkuu Sasa hivi tuko karne ya 21, Paskali hajashutuka so popote utakapo jikweza utakwezwaHuyo jamaa ameshalaaniwa ndiyo maana amekubali kuwa dekio la wale vicheche 19
Hao sio wakazi, hawana makazi ya kudumu, wanazurura tu na mifugo yao.Tunaongozwa na psychopath, unahamisha raia 150 000 (laki moja na nusu) kwa nguvu kupisha uwindaji wa Otterlo Business Corporation OBC Emirat?
Mji wa Moshi wote una wakazi laki mbili fikiria Wamasai laki moja na nusu ni kama ufukuze wakazi karibia wote wa mji wa Moshi, This is insane, hata Wakoloni Wazungu hawakutufanyia hivi, pure evil!
----