Kwani hao masai ni walinzi wa wanyama? Nini kinazuia mwarabu asisafirishe hao wanyama kipindi chote hicho wakati ana kibali cha uwindaji?Mwarabu katoa rushwa kubwa sn kwa hawa wapuuzi aanze kusafirisha wanyama kwenda nje, pia wakala mkuu wa pembe za ndovu amerudishwa rasmi kwenye system
Ngorogoro ni eneo la mwarabu la uwindaji?Kwani hao masai ni walinzi wa wanyama? Nini kinazuia mwarabu asisafirishe hao wanyama kipindi chote hicho wakati ana kibali cha uwindaji?
Sory; OBC wapo Loliondo, not Ngorongoro. Lakini Nini mnadhani kuwa kutakuwa usafirishaji wa Wanyama baada ya hiyo jamii kuhama? Nini kinazuia hao wanyama wasisafirishwe sasa?Ngorogoro ni eneo la mwarabu la uwindaji?
Kuna TISS wengi huko wamekaa kama wamasai kumbuka wakishaondoka hakutakuwa na mtu humo ndani ni rahisi kukamata wanyama mchana na ndiyo lengo la mwarabuSory; OBC wapo Loliondo, not Ngorongoro. Lakini Nini mnadhani kuwa kutakuwa usafirishaji wa Wanyama baada ya hiyo jamii kuhama? Nini kinazuia hao wanyama wasisafirishwe sasa?
Kumba na dealer wa pembe za ndovu karudi kwenye systemSory; OBC wapo Loliondo, not Ngorongoro. Lakini Nini mnadhani kuwa kutakuwa usafirishaji wa Wanyama baada ya hiyo jamii kuhama? Nini kinazuia hao wanyama wasisafirishwe sasa?
Nini kiliwafanya wawaondoe kwa nguvu Loliondo kipindi cha Kikwete hadi wakawachomea nyumba baada ya kupewa eneo hao waarabu?Kwani hao masai ni walinzi wa wanyama? Nini kinazuia mwarabu asisafirishe hao wanyama kipindi chote hicho wakati ana kibali cha uwindaji?
Wewe nini kinazuia mkeo asitatuliwe marinda pembeni yako kitandani? Wadau wanaogopa nini hasa ukiwepoSory; OBC wapo Loliondo, not Ngorongoro. Lakini Nini mnadhani kuwa kutakuwa usafirishaji wa Wanyama baada ya hiyo jamii kuhama? Nini kinazuia hao wanyama wasisafirishwe sasa?
Hao TISS wamewekwa na wamaasai au serikali?Kuna TISS wengi huko wamekaa kama wamasai kumbuka wakishaondoka hakutakuwa na mtu humo ndani ni rahisi kukamata wanyama mchana na ndiyo lengo la mwarabu
Naona dishi limeyumba.Wewe nini kinazuia mkeo asitatuliwe marinda pembeni yako kitandani? Wadau wanaogopa nini hasa ukiwepo
Sasa kama dishi lako limeyumba usichangie madaNaona dishi limeyumba.
Naona bado unaendelea kuwashwa.Sasa kama dishi lako limeyumba usichangie mada
Kama unawaashwa si ukunwe.., unahangaika nini humu jukwaani?!Naona bado unaendelea kuwashwa.p
Dentist mng'oa Meno kavaa koti na plaizi mmempa mkononi....sobhayiii yebooo!Kumba na dealer wa pembe za ndovu karudi kwenye system
Hatari snDentist mng'oa Meno kavaa koti na plaizi mmempa mkononi....sobhayiii yebooo!
Huyo ni mamluki tu.Masai gani hajatoboa masikio?
Masai gani hana sime?
Hivi wanaona watu wajinga sana ama
Hilo panki sasa
Huyo ni mamluki tu.
PoleWamasai hawataki kuhama kwa hiari ila wanalengwa kufukuzwa ili wampishe mwarabu
Hao kwenye picha sio maasai ni mamluki