Kwani hao masai ni walinzi wa wanyama? Nini kinazuia mwarabu asisafirishe hao wanyama kipindi chote hicho wakati ana kibali cha uwindaji?Mwarabu katoa rushwa kubwa sn kwa hawa wapuuzi aanze kusafirisha wanyama kwenda nje, pia wakala mkuu wa pembe za ndovu amerudishwa rasmi kwenye system