Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wamelipwa vizuri wakapeleka mamluki waoMasai gani hajatoboa masikio?
Masai gani hana sime?
Hivi wanaona watu wajinga sana ama
Hilo panki sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamelipwa vizuri wakapeleka mamluki waoMasai gani hajatoboa masikio?
Masai gani hana sime?
Hivi wanaona watu wajinga sana ama
Hilo panki sasa
Wamelipwa vizuri wakapeleka mamluki wao
Wapuuzi hao mkuuUtaambiwa wanaenda na wakati [emoji23]
Wapuuzi hao mkuu
Maskini wee wameshafitinishwawawakilishi kutoka Kata za Enduleni, Kakesio, Aleilai, Alaitole, Nainokanoka, Olbalbal, Misigyo, Engaresero, Olorieni na Kata ya Ngorongoro.
Akizungumzia uhitaji huo, mwakilishi wa wananchi wa Kata ya Endulen, Foibe Lukumay, alisema wananchi hao, hasa wa jamii ya kifugaji ya Kimasai wanatamani kuondoka Ngorongoro na kwenda kwenye makazi mapya ili wakaanze shughuli za kiuchumi kwa uhuru na upana zaidi.
“Nimeamua kuhama kwa hiari yangu japokuwa napata vitisho katika eneo ambalo ninaishi hasa kutoka kwa viongozi, ndio maana wengi hawataki kuhama.
‘Hata sasa, mimi nimepata vitisho kama Mjumbe wa Serikali ya Kijiji, kama Makamu Mwenyekiti Baraza la Wazee wa CCM wa Wilaya ya Ngorongoro, lakini nikaamua kwa hayo yote niondoke kwa hiari ili tuweze kuinusuru Ngorongoro.
Wanyamapori waweze kuwapo maana wameongezeka kwa kweli. Wameongezeka maana mpaka hata kwangu, wanalala mpaka hapo nje.”
Mwakilishi mwingine wa Kata ya Olbalbal, Christopher Oloju, alisema ameona ni vyema aondoke eneo hilo ili kuitikia wito wa serikali kama ilivyoelekeza.
“Nimekubaliana na baadhi ya familia yangu, ila suala la kufika kule na kuona eneo ni jambo zuri. Nikifika pale (Msomera), hata ile familia yangu nitawahamasisha kuhama.
Mahali popote unapoenda ni vyema uelewe kwanza unapokwenda, ukaona kwa macho na kujiridhisha na kuona maendeleo yanayoelezwa.
View attachment 2174920View attachment 2174921View attachment 2174924View attachment 2174922View attachment 2174923View attachment 2174925View attachment 2174926View attachment 2174927View attachment 2174928
Poa sn mkuuSana
hatari snSasa hivi tutawekewa mabomba ya dawa za kimasai kila nyumba maana kila kona zitakua zinauzwa.
Nawaza, kama kweli wakihamishwa ni wakati muafaka wa kuanzisha kampuni ya ulinzi ambayo wanalinda wamasai tu. Naanza kupokea CV hivi punde
Yalipelekwa matapeli fulani hivi toka Unga limited na MbaudaMaskini wee wameshafitinishwa
Hii nchi safari bado ndefuhatari sn
Inaenda kufutika kabisaHii nchi safari bado ndefu
🤣🤣🤣🤣kinachofata ni kihamoa burundi kama tulovyoelezekeza na bwana ChembaInaenda kufutika kabisa
Sure🤣🤣🤣🤣kinachofata ni kihamoa burundi kama tulovyoelezekeza na bwana Chemba
Hayatatoka salama.. Yawe makiniYalipelekwa matapeli fulani hivi toka Unga limited na Mbauda
Hayatatoka salama.. Yawe makiniYalipelekwa matapeli fulani hivi toka Unga limited na Mbauda
Hayatatoka salama.. Yawe makiniYalipelekwa matapeli fulani hivi toka Unga limited na Mbauda
Wapigwa mishale ya sumuHayatatoka salama.. Yawe makini
Mkuu sijui umejuaje, yaani wametakata ivyo eti wamasai. Itakuwa wamepeleka watu waanze kuhama ili kuwatoa morale wa kugoma kuhamaWamasai hawataki kuhama kwa hiari ila wanalengwa kufukuzwa ili wampishe mwarabu
Hao kwenye picha sio maasai ni mamluki