Unachomaje moto vifaranga vilivyo hai? huo ujasiri unautolea wapi kwasababu sio kwa fikira na hisia za binadamu wa kawaida.
[HASHTAG]#Sio[/HASHTAG] raisi wangu
124 Ali tena kule Kenya wamasai rasmi wanatambulika kama " The Masai of East Africa". Ukienda Longido na Namanga sidhani unaweza kuwatofautisha Wamasai wa Kenya na Tanzania!unadhani wamasai wanajua hiyo mimi mtanzania wewe mkenya?mmasai nimmasai tu haijalishi yu atokea wapi,hapo wanaona msiba ni wao wote
Reliable source please.
Na wawaambie wachunge ngombe zao huko huko kwao.
Masuala ya jamii ni moja msituletee hapa.
Mipaka iheshimiwe.
TRA mnajua sheria zenu MTU aki donate gari bure kumpa hawara yake huwa MNA treat vipi? Hakikini kama ni donation na sio sale na kama yakidhi sheria za TRA.TRA wake upNawapongeza Sana Rafiki zangu Wamasai kwa Umoja wao waliyoonyesha wa Kujitolea Ng'ombe 1700 kuwarudishia Wenzao wa Kenya Ng'ombe zilizokuwa zimepigwa Mnada.Vil
Birds flue???? Utetezi wako hauna nguvu. Kwani walifanya jitihada yoyote kuwapima kama si kujichukulia solution rahisi kutokana na uvivu? Na pili si wangewarudisha watokako? Tusipende kutetea uvivu wa kufikiri wa wahusika.You would rather know, before hand, how serious governments work. Fikiri madhara yanayosababishwa na bird flu kwa wananchi iwapo hatua kama hizo hazikuchuliwa, eti kwa kuwa tunapendana (kwa kuangaliana usoni) na jirani zetu.
Utakufa wewe na utatuacha sisi tukiendelea kuishi.Kwa staili hii ni bora mngekufa kwa mafua ya ndege
Uthibitisho ni kuwa, hakuna taarifa yoyote ya mafua ya ndege iliyotangazwa na vyombo vya habari vya kimataifa hapa Africa mashariki. Taarifa pekee ni tuliyonayo ni kutoka kwa wachoma vifaranga. Sasa, taarifa kama hii ambayo huisikii kutoka shirika kubwa lolote la habari zaidi ya hao wachomaji wa vifaranga, inatia shaka sana.Thibitisha acha ngonjera
Mpaka lini?Utakufa wewe na utatuacha sisi tukiendelea kuishi.
MileleMpaka lini?
...Awabariki na Viongozi wao...Mungu wabariki wamasai
Ujue wa tz tuna phd za kulaum tu ndugu yangu, yaan hayo hawayaoni wanaojua wao ni kulaum tuYou would rather know, before hand, how serious governments work. Fikiri madhara yanayosababishwa na bird flu kwa wananchi iwapo hatua kama hizo hazikuchuliwa, eti kwa kuwa tunapendana (kwa kuangaliana usoni) na jirani zetu.
We kweli hamnazo kabisa, hata hao wakenya hawapo tayari vitu viingie nchini mwao kienyeji enyeji to hususani mifugo bila kujilizisha afya ya mifugo husika.Hakuna cha mafua ya ndege wala nini, ni ubabe tu.
Du jamaa vipi? Au ndo vyuma vimekaza
....walimjaribu kwa kuingiza vifaranga bila vibali, wamepata walichokitafuta.Hakuna cha mafua ya ndege wala nini, ni ubabe tu.
Je wamasai wa kenya wana moyo huo.. kama walivyo wamasai wa Tanzania...au yule Mtanzania aliyechomewa vifaranga..kwa nin hawakuweza mrudishia hata nusu ya gharama..
Vifaranga vilikuwa na flu au ni kujitafutia sababu tu?You would rather know, before hand, how serious governments work. Fikiri madhara yanayosababishwa na bird flu kwa wananchi iwapo hatua kama hizo hazikuchuliwa, eti kwa kuwa tunapendana (kwa kuangaliana usoni) na jirani zetu.
CC: Fashisti Injinia JoUnachomaje moto vifaranga vilivyo hai? huo ujasiri unautolea wapi kwasababu sio kwa fikira na hisia za binadamu wa kawaida.
[HASHTAG]#Sio[/HASHTAG] raisi wangu
Ni sheria ya kudhibiti magonjwa ya ndege duniani Asia walichoma malaki ya kuku.Unachomaje moto vifaranga vilivyo hai? huo ujasiri unautolea wapi kwasababu sio kwa fikira na hisia za binadamu wa kawaida.
[HASHTAG]#Sio[/HASHTAG] raisi wangu
Ni wapi walipopimwa wakakutwa na mafua ya ndege?Hakuna cha mafua ya ndege wala nini, ni ubabe tu.