Mmeshindwa kuwasikiliza labda hiyo ita raise awareness, msijifanye wajuajiPropaganda!
Tanzania ina inferiority complex sana kwa Kenya sijui ni kwa nini ? Kwa nini hatujiamini na kutatua matatizo yetu badala ya kutafuta kulaumu kila mtu na kila kitu ? Tunajishusha sana!
Kwani umeambiwa wakifika handeni hawaruhusiwi kutoka?Wamasai wa Ngorongoro wasilazimishwe kuhamia Handeni na badala yake wapewe fidia wajiamulie wapi pa kujaga(kwenda)
Kwamba wao ni jamii special sana kuliko jamii yoyote tz?Wamasai wa Ngorongoro wasilazimishwe kuhamia Handeni na badala yake wapewe fidia wajiamulie wapi pa kujaga(kwenda)
Hao wamasai walikuwa na kibali cha polisi?Wamaasai kutoka maeneo mbalimbali wamefanya maandamano ya amani hadi ubalozi wa Kenya Tanzania, uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam leo juni 17, 2022 kuiomba serikali ya Kenya iingilie kati upotoshaji unaofanywa na asasi za kiraia na wanaharakati katika zoezi la kuhama kwa hiari linaloendelea katika wilaya ya Ngorongoro pamoja na tarafa ya Loliondo.
Wamasai hao wameeleza kuwa upotoshaji huo umelenga kuichonganisha jamii ya wamaasai na serikali ya Tanzania, pamoja na kuzorotesha jitihada mbalimbali za makubaliano zilizofikiwa na pande zote mbili.
Hayo yameelezwa kupitia barua ya pamoja iliyosainiwa na katibu wa umoja huo anayetambulika kwa jina la loishiye lashilunye iliyosomwa na kiongozi wa msafara aliyejitambulisha kwa jina moja la emanuel.
Hatua hii inakuja baada ya zoezi la kuweka alama za mipaka katika eneo la loliondo pamoja na uhamaji wa wananchi wa ngorongoro ambapo licha ya serikali kutanabaisha uwepo wa makazi mapya katika eneo la handeni, kumetokea upotoshaji na uchochezi unaolenga kukwamisha zoezi hilo.
Unawafahamu wamasai wewe? Acha porojo. Hakuna mmasai hapo.Wamaasai kutoka maeneo mbalimbali wamefanya maandamano ya amani hadi ubalozi wa Kenya Tanzania, uliopo Oysterbay jijini Dar es Salaam leo juni 17, 2022 kuiomba serikali ya Kenya iingilie kati upotoshaji unaofanywa na asasi za kiraia na wanaharakati katika zoezi la kuhama kwa hiari linaloendelea katika wilaya ya Ngorongoro pamoja na tarafa ya Loliondo.
Wamasai hao wameeleza kuwa upotoshaji huo umelenga kuichonganisha jamii ya wamaasai na serikali ya Tanzania, pamoja na kuzorotesha jitihada mbalimbali za makubaliano zilizofikiwa na pande zote mbili.
Hayo yameelezwa kupitia barua ya pamoja iliyosainiwa na katibu wa umoja huo anayetambulika kwa jina la loishiye lashilunye iliyosomwa na kiongozi wa msafara aliyejitambulisha kwa jina moja la emanuel.
Hatua hii inakuja baada ya zoezi la kuweka alama za mipaka katika eneo la loliondo pamoja na uhamaji wa wananchi wa ngorongoro ambapo licha ya serikali kutanabaisha uwepo wa makazi mapya katika eneo la handeni, kumetokea upotoshaji na uchochezi unaolenga kukwamisha zoezi hilo.
Umemuona huyo alie soma tamko? Sijui ni mgogo? Yaani Watanzania hata kuigiza hawajui.Kama ni kweli basi ni wachache waliosombwa na kupekwa hapo baada ya kupewa malipo. Ni ujinga uliopitiliza.
Unategemea kusikia kutokea wapi TBC au makalioni kwakoSidhani kama wamelazimishwa mkuu, pia nadhani hata walipewa muda wa kuondoka wenyewe. Sijasikia mtu kukamatwa kwa nguvu kupelekwa Handeni.
Wamasai wenyewe walioandamana sasa..... πππPropaganda!
Tanzania ina inferiority complex sana kwa Kenya sijui ni kwa nini ? Kwa nini hatujiamini na kutatua matatizo yetu badala ya kutafuta kulaumu kila mtu na kila kitu ? Tunajishusha sana!
Au ndio maana wamezuia malori ya chakula huko mpakaniSasa kama ni Kenya, si waandamane tu, sisi hatuna shida nao, ila Ngorongoro and Loliondo lazima waondoke Wakenya nyang'au sana, wamejaza wamasai wao na mifugo yao Tanzania, sbb Kenya hakuna malisho, alafu wanaandana huko Kenya, waache waandamane tu.
Unae ndugu hata mmoja aliyeuawa itusaidie wana jukwaa? Jina na picha hata kama ya album..πππBonge la spin Ili kuua uvumi wa mauaji unaoendelea ngoro ngoro!
Aljezeera BBC unaweza kucheki!!!hata yule polisi aliyekufa KWA kuchomwa na mshale nayo ni mauaji au unafikiri tafrija!!?polisi kauawa KWA mshale je hakuna mmsai au wamasai waliokufa kujibu mapigo KWA Askari mwenzao kuuawa KWA mshale!!!?kama kuna amani huko kwanini Askari achomwe mshale!!!?wale madiwani wa ccm 31 walipotea walipatikana kama mbunge wa Jimbo lao alivolalama!!?wale majeruhi wanaotibiwa kenya kama ilivoripotiwa na BBC na Mbunge wamepona wangapi na wangapi wameshapoteza uhai!!!?Unae ndugu hata mmoja aliyeuawa itusaidie wana jukwaa? Jina na picha hata kama ya album..πππ
Sizungumzi bila facts ndugu. Yes, askari wetu bahati mbaya aliuwawa nazungumzia hizo taarifa za raia kuuawa. Nimeomba kupata japo jina. Wala huna haja ya kuharibu mood. Muhimu tusisitize umoja, amani na utulivu. πππAljezeera BBC unaweza kucheki!!!hata yule polisi aliyekufa KWA kuchomwa na mshale nayo ni mauaji au unafikiri tafrija!!?polisi kauawa KWA mshale je hakuna mmsai au wamasai waliokufa kujibu mapigo KWA Askari mwenzao kuuawa KWA mshale!!!?kama kuna amani huko kwanini Askari achomwe mshale!!!?wale madiwani wa ccm 31 walipotea walipatikana kama mbunge wa Jimbo lao alivolalama!!?wale majeruhi wanaotibiwa kenya kama ilivoripotiwa na BBC na Mbunge wamepona wangapi na wangapi wameshapoteza uhai!!!?
Kifo cha polisi pia ni mauaji na ni matokeo ya mapambano au vita au wewe UNAFIKIRI ni kitchen party!!!?
Umeiharibu siku yangu we jamaa!!!!!
Ya kwako weweUnategemea kusikia kutokea wapi TBC au makalioni kwako