Wamasai waliohamishiwa Msomera wamuingiza mjini mama, waonekana tena Ngorongoro!

Wamasai waliohamishiwa Msomera wamuingiza mjini mama, waonekana tena Ngorongoro!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro.

Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia Tanga, wamasai walipewa bure usafiri wa kubeba familia na mali zao, wakajengewa nyumba za kisasa, kuletewa huduma muhimu na kupewa posho nzuri ya kuanzia maisha huku wakishukuru kwa wema na fadhili za serikali ya mama.

Kwa kifupi serikali ilitumia nguvu-kazi kubwa, muda, pesa na kila namna ili kujenga mazingira ya wamasai kwenda kuishi Tanga, na wamasai wajanja wakatumia fursa hiyo kuvuna kirahisi huku akili na mioyo yao ikiendelea kubakia Ngorongoro.

Kwa sasa wamasai wale wana makazi sehemu mbili, kule Msomera na Ngorongoro. Huku ndiko kula keki ya taifa. Na kwa jinsi wamasai walivyo huenda wakatapakaa Handeni yote na kuwafurumusha wenyeji taratibu ili kuhodhi eneo lote kwa ajili ya kuishi na kufuga.

Safari hii mmasai kamuingiza mjini mswahili. Kumbe mjini kuna wajinga wengi ambao wanaweza kutapeliwa na washamba wa porini.

Soma Pia:
Pole sana mama, hawa watanganyika waache kama walivyo hivyo hivyo, wapambane na hali yao, wanakuchosha bure, hawana shukrani kabisa!
 
Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro. Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia Tanga, wamasai walipewa bure usafiri wa kubeba familia na mali zao, wakajengewa nyumba za kisasa, kuletewa huduma muhimu na kupewa posho nzuri ya kuanzia maisha huku wakishukuru kwa wema na fadhili za serikali ya mama.

Kwa kifupi serikali ilitumia nguvu-kazi kubwa, muda, pesa na kila namna ili kujenga mazingira ya wamasai kwenda kuishi Tanga, na wamasai wajanja wakatumia fursa hiyo kuvuna kirahisi huku akili na mioyo yao ikiendelea kubakia Ngorongoro. Kwa sasa wamasai wale wana makazi sehemu mbili, kule Msomera na Ngorongoro. Huku ndiko kula keki ya taifa. Na kwa jinsi wamasai walivyo huenda wakatapakaa Handeni yote na kuwafurumusha wenyeji taratibu ili kuhodhi eneo lote kwa ajili ya kuishi na kufuga.

Safari hii mmasai kamuingiza mjini mswahili. Kumbe mjini kuna wajinga wengi ambao wanaweza kutapeliwa na washamba wa porini.

Pole sana mama, hawa watanganyika waache kama walivyo hivyo hivyo, wapambane na hali yao, wanakuchosha bure, hawana shukrani kabisa!
Nzuri sana hii..
Ni kama ile pesa yao unaKULA lakini KURA huwapi.
 
Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro. Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia Tanga, wamasai walipewa bure usafiri wa kubeba familia na mali zao, wakajengewa nyumba za kisasa, kuletewa huduma muhimu na kupewa posho nzuri ya kuanzia maisha huku wakishukuru kwa wema na fadhili za serikali ya mama.

Kwa kifupi serikali ilitumia nguvu-kazi kubwa, muda, pesa na kila namna ili kujenga mazingira ya wamasai kwenda kuishi Tanga, na wamasai wajanja wakatumia fursa hiyo kuvuna kirahisi huku akili na mioyo yao ikiendelea kubakia Ngorongoro. Kwa sasa wamasai wale wana makazi sehemu mbili, kule Msomera na Ngorongoro. Huku ndiko kula keki ya taifa. Na kwa jinsi wamasai walivyo huenda wakatapakaa Handeni yote na kuwafurumusha wenyeji taratibu ili kuhodhi eneo lote kwa ajili ya kuishi na kufuga.

Safari hii mmasai kamuingiza mjini mswahili. Kumbe mjini kuna wajinga wengi ambao wanaweza kutapeliwa na washamba wa porini.

Pole sana mama, hawa watanganyika waache kama walivyo hivyo hivyo, wapambane na hali yao, wanakuchosha bure, hawana shukrani kabisa!
Ndivyo fedha za maskini zinavyotumika Afrika.
 
Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro. Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia Tanga, wamasai walipewa bure usafiri wa kubeba familia na mali zao, wakajengewa nyumba za kisasa, kuletewa huduma muhimu na kupewa posho nzuri ya kuanzia maisha huku wakishukuru kwa wema na fadhili za serikali ya mama.

Kwa kifupi serikali ilitumia nguvu-kazi kubwa, muda, pesa na kila namna ili kujenga mazingira ya wamasai kwenda kuishi Tanga, na wamasai wajanja wakatumia fursa hiyo kuvuna kirahisi huku akili na mioyo yao ikiendelea kubakia Ngorongoro. Kwa sasa wamasai wale wana makazi sehemu mbili, kule Msomera na Ngorongoro. Huku ndiko kula keki ya taifa. Na kwa jinsi wamasai walivyo huenda wakatapakaa Handeni yote na kuwafurumusha wenyeji taratibu ili kuhodhi eneo lote kwa ajili ya kuishi na kufuga.

Safari hii mmasai kamuingiza mjini mswahili. Kumbe mjini kuna wajinga wengi ambao wanaweza kutapeliwa na washamba wa porini.

Pole sana mama, hawa watanganyika waache kama walivyo hivyo hivyo, wapambane na hali yao, wanakuchosha bure, hawana shukrani kabisa!
Ukiona hivyo ujue kwamba hawajaridhika kuhamia huko Msomera
 
Hao mpaka wa jirani wamo,
Mmasai wetu ana macho 3
Au degree holder huyo kaja kuongeza idadi?
Screenshot_20240825_175809_X~2.png
 
Hao mpaka wa jirani wamo,
Mmasai wetu ana macho 3
Au degree holder huyo kaja kuongeza idadi?View attachment 3080225
Sijajua definition yako ya macho matatu kama ni kwa iPhone pekee ama hata kampuni zingine maana hiyo simu sio iPhone. Yote kwa yote, nawajua zaidi ya waMasai 10 wa Tanzania wanaomiliki vitu vya kisasa na vya thamani zaidi ya simu huku wakidumisha utamaduni wao still.
 
Tembea uone, Wahutu wana vuka mpaka na kuja kuishi Tanzania kama tu wamakonde wanaotoka nachingwea na kwenda kuishi mbagala.
Tena wanakwambia passport yao ni mavazi yao tu, Kenya na Tanzania ni nchi moja kwao.
 
Hao wamasai kutoka huko unakokuita jirani waliingiaje hapa nchini kwetu? Unataka kusema kwamba mipaka yetu ya nchi hii hailindwi Wala kudhibitiwa???
Mbona wanazunguka na kuishi kama ndugu miaka yote?
Hujafika Namanga?
Miaka ya nyuma niliwahi kushuhudia wanakatisha na baiskeli na wengine kwa miguu
Wananunua bidhaa huku na kurudi kwao kila leo ni kawaida sana
Porini pia wachungaji ni wamoja na hawazuiliki
 
Sijajua definition yako ya macho matatu kama ni kwa iPhone pekee ama hata kampuni zingine maana hiyo simu sio iPhone. Yote kwa yote, nawajua zaidi ya waMasai 10 wa Tanzania wanaomiliki vitu vya kisasa na vya thamani zaidi ya simu huku wakidumisha utamaduni wao still.
Wote ni ndugu hao huwezi kuwatenganisha
 
Wamasai ni noma aise huenda watarudi wote ngorongoro
 
Katika jambo la kustaajabisha kabisa ni tukio la wamasai waliohamishwa kutoka Ngorongoro na kupelekwa kule Handeni, Tanga eneo la Msomera wameonekana pia Ngorongoro wakati huu wa sakata la wamasai kuungana kudai haki ya kuendelea kuishi Ngorongoro.

Tulielezwa kuwa wakati wa zoezi la kuhamia Tanga, wamasai walipewa bure usafiri wa kubeba familia na mali zao, wakajengewa nyumba za kisasa, kuletewa huduma muhimu na kupewa posho nzuri ya kuanzia maisha huku wakishukuru kwa wema na fadhili za serikali ya mama.

Kwa kifupi serikali ilitumia nguvu-kazi kubwa, muda, pesa na kila namna ili kujenga mazingira ya wamasai kwenda kuishi Tanga, na wamasai wajanja wakatumia fursa hiyo kuvuna kirahisi huku akili na mioyo yao ikiendelea kubakia Ngorongoro.

Kwa sasa wamasai wale wana makazi sehemu mbili, kule Msomera na Ngorongoro. Huku ndiko kula keki ya taifa. Na kwa jinsi wamasai walivyo huenda wakatapakaa Handeni yote na kuwafurumusha wenyeji taratibu ili kuhodhi eneo lote kwa ajili ya kuishi na kufuga.

Safari hii mmasai kamuingiza mjini mswahili. Kumbe mjini kuna wajinga wengi ambao wanaweza kutapeliwa na washamba wa porini.

Soma Pia:
Pole sana mama, hawa watanganyika waache kama walivyo hivyo hivyo, wapambane na hali yao, wanakuchosha bure, hawana shukrani kabisa!
Wana umoja wao na huo ndiyo mfano wa kuigwa kwa jamii zetu, jamii zinatakiwa kubuni mbinu zitakazo tatua matatizo yao na siyo kuletewa kila kitu hata kama kitaathiri maisha ya jamii husika
 
Back
Top Bottom