Uchaguzi 2020 Wamasai wamemuelewa Tundu Lissu

,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anajua nchi ,kama anaijua nchi asingepotea katavi.
Hivi kuijua nchi Ni kuijua mitaa ya nchi nzima au kuijua historia ya nchi??
 
Hawa ndio watu wagumu kuelewa baada ya wagogo na wanyaturu. Sasa ukombozi umefika.
We ni kabila gani mkuu unataka kuniambia kabila lako hakuna ccm kinachotuangusha chadema tunafanya siasa ya kuona baadhi ya makabila ni wajinga baada ya kuwaelimisha,unataka kuniambia hakuna wanyaturu na wagogo ambao wapo chadema?
Siasa hizi sio nzuri mkuu
 
Hajawahi kusubiriwa kwa hiyari bali maandalizi hlufabyika siku 5 kavla Magu hajafika
 
Huyu jamaa anafuja hela za walipa kodi. Msafara mkubwa sana huu.
CCM ya siku hizi ina mapato ya 50 billion kila mwaka na kukuwa, yeye analipia upande wake na hao wengine ni jukumu la serikali.

Sio Magufuli anaejipangia alindwe vipi.

Hayo magari ya serikali kawaulize ‘president security unit’ ndio wanaofanya risk assessment na kuamua watamlinda vipi, it has nothing to do with Magufuli.
 

Sio swala la kuku na yai kipi kimetangulia, vinakuja si unaona value chain ishaanza kufufuliwa. Unataka nikuletee vingine.

Au we mwenzetu unafikiri pamba ikitoka shambani inaweza kuwa material ya nguo kesho yake tu?

Nafikiri Mahindi ukisaga unapata unga wa Ugali.
 
Hajawahi kusubiriwa kwa hiyari bali maandalizi hlufabyika siku 5 kavla Magu hajafika
Umeona kuna camera ya main media hapo au mwananchi tu.

Halafu hiyo ni kawaida sana kwa Magufuli au unataka ni kuletee na video zingine watu anao wapita barabarani kama awajapanga kusimama ni miles unakuta wamejipanga.
 
Umeona kuna camera ya main media hapo au mwananchi tu.

Halafu hiyo ni kawaida sana kwa Magufuli au unataka ni kuletee za video zingine watu anao wapita barabarani kama awajapanga kusimama ni miles unakuta wamejipanga.
Mimi ni sehemu ya jamii ya Kitanzania, naelewa kila kitu kinachoendelea
 

Mkuu kuna mtu amewanyima msingue thread na ninyi au hakuna cha kuwaambia wananchi.... ukiona inaingia kwa uchungu ujue ni sindano usiyumbe utavunja sindano
 

Hawa ni wanafiki tu.
Wangepiga magoti kutubu na kuomba toba mbele za Mungu ingewasaidia, lakini hili la kuwapigia wanadamu magoti kuomba kura, basi linaoesha hawastahili hicho wanachokiomba bali wanawashawishi watu wawaonee huruma.

WAAMBIENI WATU WAMESHAZIJUA SURA ZAO HALISI< WAMEVAA NGOZI YA KONDOO LAKINI NDANI NI MBWA MWITU WAKALI>
 
Ukiitazama hii picha na ukiwaangalia watu waliopo nyumba ya JPM impressions walizonazo katika nyuso zao unajua kabisa jamaa anafanya igizo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Igizo hili limeletwa kwenu kwa udhamini mkubwa wa Jambo lotion.
 
Daah huyu mwamba anaijua hii nchi vizuri aisee dah.historia yote iko kichwani nimemkubali,vichwa adhimu hapa Tanzania kuwahi kutokea..
Ni kweli jamaa alisoma na akaelimika .
Ila ukitaka kujua waTanzania wengi Ni wajinga Kuna vijitu haviko Tayari kumpa kura mtu Kama huyu,viko kishabiki tu,bado vindhani kila kitu Ni ishabiki tu.
Vijitu vinaacha kuchagua mtu makini kwa sbabu ya kofia ,fulana na ubwabwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…