Hivi kuijua nchi Ni kuijua mitaa ya nchi nzima au kuijua historia ya nchi??,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anajua nchi ,kama anaijua nchi asingepotea katavi.
Nakubali ngoja tuendelee kuwavalisha wazungu mitumba.View attachment 1585269
We ni kabila gani mkuu unataka kuniambia kabila lako hakuna ccm kinachotuangusha chadema tunafanya siasa ya kuona baadhi ya makabila ni wajinga baada ya kuwaelimisha,unataka kuniambia hakuna wanyaturu na wagogo ambao wapo chadema?Hawa ndio watu wagumu kuelewa baada ya wagogo na wanyaturu. Sasa ukombozi umefika.
Hajawahi kusubiriwa kwa hiyari bali maandalizi hlufabyika siku 5 kavla Magu hajafika
Ebu tazama hapo umati ambao Lissu akiona njiani anapunguza speed wamshangilie na vipicha vitaletwa JF Lissu sijui keshashinda; upande wa pili awasimami kama wanataka kumsikiliza Magufuli waende uwanjani.
Magufuli kusubiriwa njiani ni kawaida sana tena na watu wengi kushinda wanaoudhuria mikutano ya Lissu kwenye viwanja vyake.
CCM ya siku hizi ina mapato ya 50 billion kila mwaka na kukuwa, yeye analipia upande wake na hao wengine ni jukumu la serikali.Huyu jamaa anafuja hela za walipa kodi. Msafara mkubwa sana huu.
Sio swala la kuku na yai kipi kimetangulia, vinakuja si unaona value chain ishaanza kufufuliwa. Unataka nikuletee vingine.
Au we mwenzetu unafikiri pamba ikitoka shambani inaweza kuwa material ya nguo kesho yake tu?
Umeona kuna camera ya main media hapo au mwananchi tu.Hajawahi kusubiriwa kwa hiyari bali maandalizi hlufabyika siku 5 kavla Magu hajafika
Ndio unyenyekevu wenyewe kwa wapiga kura, sio ukimaliza mkutano una chukua hela zao kama Lissu.Nafikiri Mahindi ukisaga unapata unga wa Ugali.View attachment 1585278
Mimi ni sehemu ya jamii ya Kitanzania, naelewa kila kitu kinachoendeleaUmeona kuna camera ya main media hapo au mwananchi tu.
Halafu hiyo ni kawaida sana kwa Magufuli au unataka ni kuletee za video zingine watu anao wapita barabarani kama awajapanga kusimama ni miles unakuta wamejipanga.
Naaam,karibu kiwandani.Ndio unyenyekevu wenyewe kwa wapiga kura, sio ukimaliza mkutano una chukua hela zao kama Lissu.
Kujitekenya
Kucheka
Kula
Kuingia mitandaoni kudanganyaaaaa kisha
Kujipa matumaini
Kulala
October 28 kwani mbalii!!
Tukutane sanduku la kura
Mnafungua thread nyingi za kujipa moyo huku mkisahau waTZ si wajinga kiasi hicho hasa kipindi hichi Cha kampeni.
Yake mlotuaminisha miaka nenda Rudi kwa Sasa mnakana Kila Kona.
Sijui ilani yenu imeandikwa nn Sasa kama yote mazuri mnayakataaa.
Njombe Shikamoo ...... Mpaka sasa bado nafikiria mara mbili mbili. Hivi kweli Magufuli ni Msukuma. Kama ni Msukuma Msukuma wa wapi .... Mwanaume wa Kisukuma apige goti!!?
Asubuhi njema, sasa hiyo picha inasaidia vipi campaign za CDM nyie jamaa kweli tia maji tia maji.Naaam,karibu kiwandani.View attachment 1585281
Itasaidia kuvutia wajinga wajinga kama wewe Mataga.Asubuhi njema, sasa hiyo picha inasaidia vipi campaign Lissu; CDM kweli tia maji tia maji.
Ukiitazama hii picha na ukiwaangalia watu waliopo nyumba ya JPM impressions walizonazo katika nyuso zao unajua kabisa jamaa anafanya igizo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Igizo hili limeletwa kwenu kwa udhamini mkubwa wa Jambo lotion.Ukiitazama hii picha na ukiwaangalia watu waliopo nyumba ya JPM impressions walizonazo katika nyuso zao unajua kabisa jamaa anafanya igizo.[emoji3][emoji3][emoji3]
Umewasahau na waluguru mkuu.Hawa ndio watu wagumu kuelewa baada ya wagogo na wanyaturu. Sasa ukombozi umefika.
Ni kweli jamaa alisoma na akaelimika .Daah huyu mwamba anaijua hii nchi vizuri aisee dah.historia yote iko kichwani nimemkubali,vichwa adhimu hapa Tanzania kuwahi kutokea..