Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Wamemueleza kuwa:
1. Serikali huwa inasogeza mipaka kimyakimya kinyume cha sheria ili kupanua eneo la hifadhi na kuwaminya
2. Serikali huwa inachoma maboma yao ili kuwafrustrate waondoke
3. Na hata kwenye eneo ambalo siyo la hifadhi ambapo huwa wanafanya vilimo vidogovidogo serikali huwa inatuma watu wanaharibu mazao.
Unaweza kupata taarifa zaidi kwenye hii video
4. Katika kijiji cha Ololosokwan Serikali imewaminya na kuwaachia eneo la nusu kilometa tu kwa ajili ya malisho
View: https://www.youtube.com/watch?v=gqgnGrMT48U&ab_channel=JAMBOTV
1. Serikali huwa inasogeza mipaka kimyakimya kinyume cha sheria ili kupanua eneo la hifadhi na kuwaminya
2. Serikali huwa inachoma maboma yao ili kuwafrustrate waondoke
3. Na hata kwenye eneo ambalo siyo la hifadhi ambapo huwa wanafanya vilimo vidogovidogo serikali huwa inatuma watu wanaharibu mazao.
Unaweza kupata taarifa zaidi kwenye hii video
4. Katika kijiji cha Ololosokwan Serikali imewaminya na kuwaachia eneo la nusu kilometa tu kwa ajili ya malisho
View: https://www.youtube.com/watch?v=gqgnGrMT48U&ab_channel=JAMBOTV