Wamasai wapiga simu kwa fujo kwenye press ya Gerson Msigwa na kuzungumzia Loliondo

Wamasai wapiga simu kwa fujo kwenye press ya Gerson Msigwa na kuzungumzia Loliondo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Nilikuwa nasikiliza press ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ambapo kati ya mambo mengi akizungumzia suala la Lolindo na kusema kauli ya Waziri Mkuu ilikuwa sahihi.

Sasa baada ya taarifa aliruhusu simu kutoka kwa waandishi na wananchi ambao wengi walikuwa ni Wamasai.

Wamasai hao wamesisitIza hakuna vurugu zilizotokea Loliondo na hawana shida na Serikali

Ama walipangwa? 🤣🤣🤣
 
Nilikuwa nasikiliza press ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ambapo kati ya mambo mengi akizungumzia suala la Lolindo na kusema kauli ya Waziri Mkuu ilikuwa sahihi.

Sasa baada ya taarifa aliruhusu simu kutoka kwa waandishi na wananchi ambao wengi walikuwa ni Wamasai.

Wamasai hao wamesisitIza hakuna vurugu zilizotokea Loliondo na hawana shida na Serikali

Ama walipangwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaka unauliza rangi ya mkaa?
 
Nilikuwa nasikiliza press ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ambapo kati ya mambo mengi akizungumzia suala la Lolindo na kusema kauli ya Waziri Mkuu ilikuwa sahihi.

Sasa baada ya taarifa aliruhusu simu kutoka kwa waandishi na wananchi ambao wengi walikuwa ni Wamasai.

Wamasai hao wamesisitIza hakuna vurugu zilizotokea Loliondo na hawana shida na Serikali

Ama walipangwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama hawajspangwa, ni press gani nyingine uliwahi kuona inaruhusu maswali kwa njia ya simu?
 
Nilikuwa nasikiliza press ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ambapo kati ya mambo mengi akizungumzia suala la Lolindo na kusema kauli ya Waziri Mkuu ilikuwa sahihi.

Sasa baada ya taarifa aliruhusu simu kutoka kwa waandishi na wananchi ambao wengi walikuwa ni Wamasai.

Wamasai hao wamesisitIza hakuna vurugu zilizotokea Loliondo na hawana shida na Serikali

Ama walipangwa? 🤣🤣🤣
Wamasai wa michongo hao ndio wanasema hakuna vurugu
 
Kumbe polisi alijiua
RC alikosea kumbuka hapo ni Arusha cha Arusha hakikuwa mbali. Afande alikuwa anapambana na majambazi.

"Ngorongoro kuko shwari na familia zaidi ya 100 zimepokelewa Handeni kwenye makazi yao mapya. Wameondoka kwa hiari." In pm voice.
 
Mbona vituko?press imaruhusu maswali kwa njia ya simu tena?

Hii serikali hata kupanga story za kueweka wanashindwa.

Huyo mama nasikia kesho anaend kwa waarabu wa omani ambao ndio alikua anataka awauzie wanyama.

Nadhani wanaenda kumuuliza kwa nini umesitisha kutuuzia wanyama.
 
Back
Top Bottom