Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio huwa ana kawaida ya kuruhusu simu za wananchiMbona vituko?press imaruhusu maswali kwa njia ya simu tena?
Hii serikali hata kupanga story za kueweka wanashindwa.
Huyo mama nasikia kesho anaend kwa waarabu wa omani ambao ndio alikua anataka awauzie wanyama.
Nadhani wanaenda kumuuliza kwa nini umesitisha kutuuzia wanyama.