Wamasai wapiga simu kwa fujo kwenye press ya Gerson Msigwa na kuzungumzia Loliondo

Kwa hyo msigwa nae kaleta mamb ya jiwe Happ. Ya kutafuta watu wa michongo
 
Ndio huwa ana kawaida ya kuruhusu simu za wananchi
 
Yaani wamasai kabisa kule maporini wawe wanasubiria press ya Msigwa na kupiga simu??

Endeleeni kuchezea maisha ya watu. Hata yenu pia Mungu atayachezea mkifikiri hakuna wa kuwafanya lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…