Mbona vituko?press imaruhusu maswali kwa njia ya simu tena?
Hii serikali hata kupanga story za kueweka wanashindwa.
Huyo mama nasikia kesho anaend kwa waarabu wa omani ambao ndio alikua anataka awauzie wanyama.
Nadhani wanaenda kumuuliza kwa nini umesitisha kutuuzia wanyama.