Wamasai watakaochelewa kuhamia Handeni, kitakachowapata hawataamini

Wamasai watakaochelewa kuhamia Handeni, kitakachowapata hawataamini

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini

 
Wamasai wa Ngorongoro wapo JF kweli??
 
huu ndio ukweli mchungu, labda wewe huna experience na Serikali inavyofanya opereseheni zake

Serikali iingie gharama kujenga nyumba na kuhamisha watu kisha wengine wahamie na wengine wagome?
Tutakuwa hapa JF tutaambiana, tuombe uzima
Nitakusaidia kumkumbusha

Anafikiri Serikali ya Samia inapenda umaarufu wa kijinga🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamani Kishindo cha awamu ya sita.Costa mayai inavyonguruma vizuri.Safari hii wamasai wa Lolihondo wanakula raha wanalamba asali.Watakao baki yawezekana ni waamiaji kutoka cenya na mifugo yao.
 
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini


Kwa hiyo watu 400 kati ya laki moja no wengi? Au wewe uwingi unapimaje?
 
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini


Mnajiona mnaweza kufanya lolote? Baadaye ikiwa Kinyume, mnajifanya nyuma ya Keyboard.
 
"Kitakacowapata hawataamini" kumbe mnakiri bado tupo kwenye utawala wa kidikteta.

Hao wanaohama waachwe wahame, wasiohama wasisumbuliwe, lakini sio kulazimisha kutoa ardhi yetu kwa mjomba tena kwa mabavu huku chawa mkishangilia.
 
"Kitakacowapata hawataamini" kumbe mnakiri bado tupo kwenye utawala wa kidikteta.

Hao wanaohama waachwe wahame, wasiohama wasisumbuliwe, lakini sio kulazimisha kutoa ardhi yetu kwa mjomba tena kwa mabavu huku chawa mkishangilia.

Ardhi yetu iko wapi? Ardhi mali ya serikali.
 
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini

Mnataka kuwauwa kwa sababu ya uwekezaji kama mlivyowafukia wachimbaji kwenye machimbo ?

Basi endeleeni ila tambueni kwamba kila ubaya utalipwa
 
Kuna serikali bila wananchi? Kuna serikali bila makubaliano yake na wananchi?
 
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini


Ngoja siku ikifika watakumbuka maneno yako. Nakula roshoroo hapa kwa Laizer
 
"Kitakacowapata hawataamini" kumbe mnakiri bado tupo kwenye utawala wa kidikteta.

Hao wanaohama waachwe wahame, wasiohama wasisumbuliwe, lakini sio kulazimisha kutoa ardhi yetu kwa mjomba tena kwa mabavu huku chawa mkishangilia.
Endelea kukaza FUVU muda utaongea ndiyo kawaulize LOLIONDO NA MACHINGA DAR
 
Back
Top Bottom