Wamasai watakaochelewa kuhamia Handeni, kitakachowapata hawataamini

Wamasai watakaochelewa kuhamia Handeni, kitakachowapata hawataamini

Ardhi yetu iko wapi? Ardhi mali ya serikali.

Profesa Shivji ameeleza vizuri kuhusu ardhi ni mali ya nani, na ni hatua gani zichukuliwe pindi serikali ikitaka kuichukua, na sio kupiga wananchi na kuwahamisha kwa shuruti. Bila machafuko kutokea nchini na kupeana adabu, sheria za nchi hii zitaendelea kufuatwa kwa utashi wa rais na genge lake.
 
Makubaliano yatapatikana tuu hata kwa virungu na mtutu wa bunduki. Dola ina nguvu sana.

Kwa hiyo kwasasa wananchi sio wenye nguvu tena bali dola. Uko sahihi maana serikali hii haiko madarakani kwa ridhaa ya wananchi bali nguvu ya dola.
 
"Kitakacowapata hawataamini" kumbe mnakiri bado tupo kwenye utawala wa kidikteta.

Hao wanaohama waachwe wahame, wasiohama wasisumbuliwe, lakini sio kulazimisha kutoa ardhi yetu kwa mjomba tena kwa mabavu huku chawa mkishangilia.
Sisi tunasubiri nyama za ng'ombe wa wakaidi
 
Profesa Shivji ameeleza vizuri kuhusu ardhi ni mali ya nani, na ni hatua gani zichukuliwe pindi serikali ikitaka kuichukua, na sio kupiga wananchi na kuwahamisha kwa shuruti. Bila machafuko kutokea nchini na kupeana adabu, sheria za nchi hii zitaendelea kufuatwa kwa utashi wa rais na genge lake.

Sheria zimeandikwa vague kwa makusudi. Ndiyo maana kila mtu anatafsiri yake. Naibu waziri anatafsiri yake, Shivji anatafsiri yake. Lakini mwisho wa siku, serikali inahamisha inayetaka kuhamisha. Mambo hayo yalianza tangu enzi za Nyerere, huyo Shivji si alikuwepo?
 
Kwa hiyo kwasasa wananchi sio wenye nguvu tena bali dola. Uko sahihi maana serikali hii haiko madarakani kwa ridhaa ya wananchi bali nguvu ya dola.

Siyo kwa sasa tuu. Tangu nchi ipate uhuru watu wanahamishwa. Mfumo ni ule ule na umebaki mpaka leo.
 
kwa sasa nimeona Wamasai wengi wakihamishwa na Costa kupelekwa huko Handeni na ng'ombe zao kuhamishwa kwa malori, ikielezwa kuwa wanahama kwa hiyari

Najua kuna amboa wanaweza kuweka msimamo mwanzo mwisho kuwa hawatahama kwa kuwa kuhama ni hiyari

Sasa hawa hawataamini kitakachowakuta, watafanyiwa umafia wa hatari hata huko Handeni wataomba kwenda kwa miguu ila itakuwa too late

Sasa hivi mnaletewa mabasi kwa sababu mpo wengi na serikali haitaki kuonekana bad guys, ila mkibaki wachache serikali itasema wote wameshahama na nyie wachache kitakachowakuta hamtaamini


Waache waendelee kudanganywa na Wakenya walio mabingwa wa kuswaga Wamasai nje ya conservation areas bila fidia kama Mau forest!
 
Umeongea ukweli kabisa, mfano ile operesheni tokomeza ujangili kipindi cha Jk iliacha makovu mengi na kashfa nyingi chafu, hii watawadhibiti na kudeal nao kimya kimya
 
"Kitakacowapata hawataamini" kumbe mnakiri bado tupo kwenye utawala wa kidikteta.

Hao wanaohama waachwe wahame, wasiohama wasisumbuliwe, lakini sio kulazimisha kutoa ardhi yetu kwa mjomba tena kwa mabavu huku chawa mkishangilia.
Sio kubembeleza kila kitu
 
Zinatumika sana tuu. Labda wewe ni mgeni nchi hii. Kila uchaguzi dola inamwaga damu Zanzibar. Mbona hushangai?
Una ushahidi wa unachokisema? Kwa hiyo mnataka kumwaga damu ya wamasai kule Loliondo ili nafsi za Wazenji zifurahi?
 
Una ushahidi wa unachokisema? Kwa hiyo mnataka kumwaga damu ya wamasai kule Loliondo ili nafsi za Wazenji zifurahi?

Kama unaishi Tanzania usingeuliza huo ushahidi. Lakini ngoja nikusaidie hapa

(November 30, 2021) – The Tanzanian government has not held security forces and aligned militia accountable for killings in Zanzibar during the 2020 elections, Human Rights Watch said today.


Human Rights Watch research has found that at least 14 people died and 55 were injured, as police, soldiers, and armed men in civilian clothes teargassed and shot at crowds, between October 26 and 30, 2020. The armed men also arbitrarily arrested, detained, and tortured opposition supporters on Zanzibar’s main islands of Unguja and Pemba. Neither the Tanzanian central authorities nor Zanzibari authorities have acknowledged, let alone investigated, the full scale and toll of the violence, despite a public outcry within the country, and calls for investigations, including by the United Nations High Commissioner for Human Rights.

 
Wamasai sio Jamii ya kwanza kuhamishwa. Watu Kila siku wanahamishwa kwa sababu mbali mbali from ujenzi wa miundombinu, maeneo ya jeshi, hifadhi nk

Hawa mayeroo watahama tu kwa hiyari au shurti kama wanajiona wao ni special sana watakipata wanachokitafuta.
 
Back
Top Bottom