Wamasai wote mfunge na kuomba juu yanayoendelea Ngorongoro

Wamasai wote mfunge na kuomba juu yanayoendelea Ngorongoro

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Hichi kitendo wanachofanyiwa wamasai wangorongoro na Loliondo ni sawa na kutaka kuwatoa samaki kwenye maji waishi nchi kavu. Wakati ni asili yao na nimakazi yao waliyopewa na Mungu kama wewe ulivyokuwa na asili yako.

Sasa nawashauri wamasai wote Duniani mfunge na kumuomba Mungu awatete kwa namna yake.

Pili katika mfungo huo hakikisheni munamlaani huyo mtesi wenu na kizazi chake chote kitakacho kuwa hapa Duniani.

Hata mkiondoka hakika moto itakuwa juu ya watesi wenu na Dunia hii watakuwa wanakanya kama kaa la moto katika maisha yao.

Huo ni uonevu wa kumuona binadamu mwingine kama kitu kisichokuwa na thamani.
 
Unamaanisha Loliondo kama nimekuelewa vizuri, maana wa Ngorongoro nafikiri mpaka sasa waliohama ni wale wa hiari tu.
 
Unamaanisha Loliondo kama nimekuelewa vizuri, maana wa Ngorongoro nafikiri mpaka sasa waliohama ni wale wa hiari tu.
Nimemaanisha nilichokiandika ila pote kuna uonevu..hii jamii inanyanyasika sana mpaka nahisi Mungu anaumia sana juu ya hili
 
Japokuwa wakenya wana uzoefu wa kuwashikia akili baadhi ya watanzania wajinga kama wewe, lakini nakuhakikishia safari hii lazima washindwe.

Kama hawana sehem nyingine ya kwenda kulisha mifugo yao basi waiuze kwa watanzania au waganda. Ule ujanja ujanja tena wa kufanya nchi yetu shamba la bibi kwa kimvuli cha ujirani mwema na uraia wa mchongo sasa umefika mwisho.

Serikali iendelee na oparation yake mpaka wale wamasai wenye asili ya kenya waliojipenyeza katika nchi yetu kwa umasai wa mchongo warudi kwao.

Wamasai wenye asili ya Tanzania wengi wameshaenda kule walipojengewa na Serikali sasa hivi waliobakia huko ni wale wa mchongo ambao wanaona hawawezi kwenda kuishi mbali na mpaka wa nchi yao huenda watagundulika na kukamatwa.

Hata wakifunga karma itawarudia wao, maana Mungu hapendi unafiki wa aina hii, kila mtu kampa nchi yake ili apambane na hali yake.
 
Hapo vip!!
Hichi kitendo wanachofanyiwa wamasai wangorongoro na Loliondo ni sawa na kutaka kuwatoa samaki kwenye maji waishi nchi kavu...wakati ni asili yao na nimakazi yao waliyopewa na Mungu kama wewe ulivyokuwa na asili yako...
Naona tunarudi kwenye maombi
 
Mambo ya kuombeana ni kucheleweshana tu, ishu ni wakiua raia maasai waue polisi, ikiwezekana watumie na madawa yao ya asili mpaka kieleweke. Naona CCM wamegeuka kuwa urusi
 
Akuna masai atayeishinda serikali hao jamaa wataisha
 
Hapo vip!

Hichi kitendo wanachofanyiwa wamasai wangorongoro na Loliondo ni sawa na kutaka kuwatoa samaki kwenye maji waishi nchi kavu. Wakati ni asili yao na nimakazi yao waliyopewa na Mungu kama wewe ulivyokuwa na asili yako.

Sasa nawashauri wamasai wote Duniani mfunge na kumuomba Mungu awatete kwa namna yake.

Pili katika mfungo huo hakikisheni munamlaani huyo mtesi wenu na kizazi chake chote kitakacho kuwa hapa Duniani.

Hata mkiondoka hakika moto itakuwa juu ya watesi wenu na Dunia hii watakuwa wanakanya kama kaa la moto katika maisha yao.

Huo ni uonevu wa kumuona binadamu mwingine kama kitu kisichokuwa na dhamani.
Wewe mtoto wa juzi tu kanywe maziwa ulale... Uliza kilichowakuta wamasai wa Loliondo miaka ya mwisho ya tisini baada ya wasomali kuvamia watalii? Sasa utapata majibu ya kwa nini wasomali na iweze wamasai waingie kwenye moto, ndio utaelewa umalaya wa kifikra wa kabila la kimasai.
 
Wewe mtoto wa juzi tu kanywe maziwa ulale... Uliza kilichowakuta wamasai wa Loliondo miaka ya mwisho ya tisini baada ya wasomali kuvamia watalii? Sasa utapata majibu ya kwa nini wasomali na iweze wamasai waingie kwenye moto, ndio utaelewa umalaya wa kifikra wa kabila la kimasai.
Sikia wewe...mimi sitishwagi kitoto hivyo...alafu acha kishabiki umaskini ya kuuza raslimali ya nchi...kiongozi anayeuza wananchi na raslimali zake ni shetani na ana awali ya umaskini...ni kiongozi wakutoogobwa hata kidogo...yapaswa akabiliwe
 
Back
Top Bottom