"Wamatumbi" walikosea kuwaondoa Waarabu kwenye usukani wa Zanzibar?

"Wamatumbi" walikosea kuwaondoa Waarabu kwenye usukani wa Zanzibar?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwa muktadha wa huu uzi, Wamatumbi ni watu wenye asili ya bara la Afrika.

Wamatumbi wanakiita kile kilichotokea 1963 Zanzibar kuwa ni Mapinduzi tukufu. Sina uhakika kama kweli ni tukufu au ni lugha za kisiasa tu!

Kiuhalisia, hayo Mapinduzi yamekuwa na msaada kwa Wazanzibar? Zaidi ya Waafrika na Waarabu kuruhusiwa kuoana, kuna yapi mazuri zaidi yaliyopatikana Zanzibar baada ya Wamatumbi kukaa kwenye usukani?

Kwa kuwaondosha Waarabu, walifanya vizuri au walikosea?

Kama Waarabu wangeendelea kuongoza, Zanzibar kwa sasa ingeweza kuwa kama Dubai au Morocco?
 
Kwa muktadha wa huu uzi, Wamatumbi ni watu wenye asili ya bara la Afrika.

Wamatumbi wanakiita kile kilichotokea 1963 Zanzibar kuwa ni Mapinduzi tukufu. Sina uhakika kama kweli ni tukufu au ni lugha za kisiasa tu!

Kiuhalisia, hayo Mapinduzi yamekuwa na msaada kwa Wazanzibar? Zaidi ya Waafrika na Waarabu kuruhusiwa kuoana, kuna yapi mazuri zaidi yaliyopatikana Zanzibar baada ya Wamatumbi kukaa kwenye usukani?

Kwa kuwaondosha Waarabu, walifanya vizuri au walikosea?

Kama Waarabu wangeendelea kuongoza, Zanzibar kwa sasa ingeweza kuwa kama Dubai au Morocco?
Uchumi wa Tanzania umeshikwa na warabu na wahindi.

Anayebisha aje na Data.
 
Mtu mwusi hajawahi kuwa na akili na nidhamu kwenye maisha, Zanzibar ingeendelea kuongozwa na Sultan ingelikuwa mbali sana kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom