Mamy inawezekana ni lake coz mimi mwenyew nilikuwa kimbau mbau balaa sijulikani tako kiuno wala mgongo nikienda kama narudi ila nikiwa chuo second year nili futuka balaa hisps sijui zilitok wapi na makalio sijui yalitoka wapi.
Ila tutasema yote juu yake aliywsemaga alitumia mchina alipomtambulisha na akatumia akishatutangazia tukajua
So hakuna la kubisha lake ni la mchina. Kama uongo angekana basi...hakukana alikubali maana angekana angeliona jiji labda
Yanadondoka?π
Inabidi unielewe sijasema lake ni mchina au sio mchina. Jaribu kupata my point ni kwamba.
1 mtu unaweza ukawa mwembamba sana ila baadae ukanenepa ghafla
2 na makalio kuwa na mabonde bonde ni aina tuu ya unene na wengi wapo ivyo na itaonekana endapo mtu atavaa nguo za kumbana na zenye material ya big g
Mwisho kabisa kama ni mchina au og mimi sijui ila fact ni kwamba izo issue zipo
Hahahahaaa, kwakweli na mimi nina mashaka.Ila Mai si alishasema ndio yeye aliyemuuzia?
Wenye watoto wa kike jamani kandeni wanenu mapema wakizaliwa wasetini baadae mtajionea yale matundu mawili juu ya mat.ako muhimu
Wasetini hata kuwaweka sawa hips zitakuwaje hamuoni mfano wa SA wengi wao walivyo?
Wakianza tu kukomaaa kama kutembea unaona hilooo lipi shwaaa na linakua na mtoto kiaina nzuri kutegemea na ulisetije plus alilobarikiwa na Mungu humo humo, wachache inakuwa baadae baadae
Umezidi umbea hahahahahahaYa leo nimetoa kali ku editi nimeji kwoti. Poa
Uwoya labda kwa kuzaa kuna wengine baada ya kujifungua ndo ushepu unatokeza hatariInaeza ikawa ni kweli au uzushi tuu (siujui ukweli ni upi) ila kumbuka uwoya enzi akiwa oprah na saivi..kumbuka alishashiriki umis na alikuwa mwembamba ila saivi jee.
Nitamuuliza wema hii issue imekaaje afu nitaleta mrejesho
Uwoya labda kwa kuzaa kuna wengine baada ya kujifungua ndo ushepu unatokeza hatari
Umezidi umbea hahahahahaha
Ila tako lake halina ushirikiano lina mabonde na milima ndo kupevuka huko na linakaribia kufika magotini
Yanadondoka?π
Hamiraaa hiyo tako moja kubwa moja dogo ya ile 90% ya mola haipo hapo kuna 40% kushoto la kulia 30%
Hamiraaa hiyo tako moja kubwa moja dogo ya ile 90% ya mola haipo hapo kuna 40% kushoto la kulia 30%