Wambea mpite hapa

Kuna watu kweli baada ya kupevuka huongezeka mwili hips na wezere. Hyo ipo kabisa alivokua miss alikua mwembamba na dalili za hips kwa umbali.
Unaweza kuta lake mana hata mamake mashaaalah.


mamaake sio mashaalah Bana Kuna kina mama wameumbika balaaa,
Haya kwa hiyo na miguu yake haijajaa hata kidogo kama hips zimeongezekaa na hapo utasemajee
 
Dina inawezekana kabisa...me mwenyewe now niko kama wema wa zamani, supporting documents za kawaida na vihips, mwembambaaa..ila nikijimenya I can see kalio lipo nikinenepa. So hilo lake kabisaaa, ana supporting Doc za chini chini kama memeee...


watu Hua wakinenepa na miguu hujaa jamanii,,tukae tusubiriii banaaa
 
Hahaaaa hyo huwa ipo mbona mwenyewe nilikuaga mwembamba mno yani baada ya mda flani nikajishangaa hips hilo. Hyo Ipo sana tu aisee hasa Mtu akianza Ku ..... For the first time linaumuka hlo.


wangeumuka wengiii mno kama ni hivyooo,hadi miss chagga angeumuka nae kama ni hivyo hhhhhaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa c kma gari likipata ajali huwa halirudi sawa lazma kasoro ziwepo bidada nae lake limepata ajali ndio mana domo alisanuka


hhhhhhhaaaaaaa jamaniiii kichuguu SI kichuguuuu lo
 
mamaake sio mashaalah Bana Kuna kina mama wameumbika balaaa,
Haya kwa hiyo na miguu yake haijajaa hata kidogo kama hips zimeongezekaa na hapo utasemajee

Huyu mama yuko vizuri bana ingawa ana umri mkubwa tu.
Hili la Wema inaweza ikawa mchina kweli au sio kweli.
Kuna watu wana mishape ya haja miguu miyembamba ka ya baadhi ya Wachaga.
 
wangeumuka wengiii mno kama ni hivyooo,hadi miss chagga angeumuka nae kama ni hivyo hhhhhaaa

Mtu hawezi kuumuka shape ka kwao hawana hayo maumbo. Ina base kwenye asili ya mtu zaidi. Kuna wengine familia au ukoo mzima flat screen ya hatari juu wanene.
 
Last edited by a moderator:
Mtu hawezi kuumuka shape ka kwao hawana hayo maumbo. Ina base kwenye asili ya mtu zaidi. Kuna wengine familia au ukoo mzima flat screen ya hatari juu wanene.


hhhhhaaaaaa
 
Huyu mama yuko vizuri bana ingawa ana umri mkubwa tu.
Hili la Wema inaweza ikawa mchina kweli au sio kweli.
Kuna watu wana mishape ya haja miguu miyembamba ka ya baadhi ya Wachaga.


hhhhhaaaaaa
 
ni kweli Kuna watu wakiwa wembamba Hua wanakishape fulan hivi ,wakinenepa hujaa vizuri hips na kalio,na miguu,sasa huyu miguu mbona haijapata afya???yaan kalio Tu pekee khaaa

Hahahaaaaa... ujue Dinazarde ukisimamia ivyo vigezo vyako bado si sababu ya kuwa ule ni mchina. May be unaweza ukawa ni mchina ndio sikatai ila sio kwa vigezo unavyovitumia....
Watu wengi ni wanene na miguu ni hewa kabisa wapo sema surual zinawastiri.
Labla kama kuna vigezo vingine ila kwa kila kinacho happen kweny shep ya wema ni vya kawaida ata mtaani wapo watu wa ivyo
 
Last edited by a moderator:


hayaaa buanaa nimekuelewa hhhhhaaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna kuumbika n shapu wema tako n hips zimeumukaa hazina uelekeo

Yale ni mabonde na vigingi na vitobo...sipati picha akiwa mtupu anavovutia
Mzuri sana.
Pata picha umepata bahati hiyo maridhawa ya kuwa naye japo kwa masaa 3 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…