Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Wambea wa mjini wote mpaka sasa wanaumiza kichwa kuhusu ndoa inayosemakana kati ya Janjaro na Irene Uwoya.
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote uliopatikana ambao unaonesha kwa namna moja au nyingine kwamba janjaro na uwoya kwa sasa ni mwili mmoja.
Rais wa wambea wote duniani Soudy Brown ameahidi kuacha umbea rasmi kama itatokea ikathibitika kwamba Janjaro anakula utamu wa Uwoya
Ila huyu Uwoya na Janjaro wametuweza kweli wambea wote kuanzia wa humu jamiiforums mpaka wambea wenzangu wa Insta [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ngoja tuone muendelezo wa muvi yao
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote uliopatikana ambao unaonesha kwa namna moja au nyingine kwamba janjaro na uwoya kwa sasa ni mwili mmoja.
Rais wa wambea wote duniani Soudy Brown ameahidi kuacha umbea rasmi kama itatokea ikathibitika kwamba Janjaro anakula utamu wa Uwoya
Ila huyu Uwoya na Janjaro wametuweza kweli wambea wote kuanzia wa humu jamiiforums mpaka wambea wenzangu wa Insta [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ngoja tuone muendelezo wa muvi yao