Nchiyaahadi
New Member
- Dec 16, 2022
- 4
- 3
Ok vizuri na hongera sana,,,umepanda/unapenda mkoa gan na matokeo yapoje??na vip minimum no ya Miche unayoweza kuagiza ktk kwao?means ya usafiri ?gharama ya usafiri roughly,, natanguliza shkran[emoji120][emoji120][emoji120]Nimeshafanya naye biashara nilinunua kwa pesa ya kenya, Nilimfuata shambani kwao na nilikutana na baba yake, na hata baada ya kurudi na kuotesha nilionge Tanzania nilishaagiza miche mara tatu kwa hiyo bei ukinunua mingi ukimuomba naamini atakupunguzia
Namtamani sana kilimo cha yulemze na shamba lake na ufugajiNapenda kuwa na shamba kama la Nguzu wa Mpali , maisha magic bongo (dstv ch. 160) au zambezi magic. Ni ekari za ndizi ila anafuga ng'ombe pia, mbuzi, kuku nk
Nguzu anaishi maisha ya fahari sana, pesa ipo, familia kubwa ipo na shughuli zipo. Shebeleza!!Namtamani sana kilimo cha yulemze na shamba lake na ufugaji
Aisee mwaka huu nataka nifungue shamba, nipande mazao kama haya ma-apple, nifuge kuku nk. Sasa nafurahi kuona ma-idea kama haya ya apple zinazoweza kukua kwenye joto na pia kuku wa breeding ya kiasili kama hao.
Kuna siku niliona chuo sijui ni taasisi ya kilimo huko Kilimanjaro, wana ndizi moja mkungu unakua mkubwa balaa, yaani ndizi za kutosha. Nikatamani sana.
Napenda kuwa na shamba kama la Nguzu wa Mpali , maisha magic bongo (dstv ch. 160) au zambezi magic. Ni ekari za ndizi ila anafuga ng'ombe pia, mbuzi, kuku nk
Hata pale Arusha Kuna kampuni inaitwa Maua mazuri, wanazalisha Miche ya migomba. Ni mizuri sana.Aisee mwaka huu nataka nifungue shamba, nipande mazao kama haya ma-apple, nifuge kuku nk. Sasa nafurahi kuona ma-idea kama haya ya apple zinazoweza kukua kwenye joto na pia kuku wa breeding ya kiasili kama hao.
Kuna siku niliona chuo sijui ni taasisi ya kilimo huko Kilimanjaro, wana ndizi moja mkungu unakua mkubwa balaa, yaani ndizi za kutosha. Nikatamani sana.
Napenda kuwa na shamba kama la Nguzu wa Mpali , maisha magic bongo (dstv ch. 160) au zambezi magic. Ni ekari za ndizi ila anafuga ng'ombe pia, mbuzi, kuku nk
Tam Tam Iringa wanauza 8500/ mche wa Apple. Nimeona Miche mnawaailiana wanakutumia kwa bus usafiri ni juu yako.Ksh 1,000 ni sawa na Tsh 15,000 hadi 18,000 kwa mche, huu ni utapeli sio biashara.
Utapanda miche mingapi ili urudishe pesa yako?
Unachimbia 18,000 ardhini plus matunzo hadi muda wa kuvuna, hiyo 18,000 baada ya miaka 5 itazaa mamilioni kibao
Wale ni wahuni, wanauza miche wakijua fika inastawi maeneo ya baridi pekee na ukilalamikabaadae wanasema eneo lakosio sahihi, niliona kuna mtu yuko Dodoma alinunua kitambo na haijazaa sasa kulalamika wakamwambia Dodoma hapafai.Tam Tam Iringa wanauza 8500/ mche wa Apple. Nimeona Miche mnawaailiana wanakutumia kwa bus usafiri ni juu yako.
kama hauko Iringa, Arusha, Mbeya na maeneo mengine ya baridi usijaribu hizo Tam TamTam Tam Iringa wanauza 8500/ mche wa Apple. Nimeona Miche mnawaailiana wanakutumia kwa bus usafiri ni juu yako.