Wameanza kulana, wameanza kuumana mwisho wataumana, nafasi za uteuzi zinawatoa jasho

Wameanza kulana, wameanza kuumana mwisho wataumana, nafasi za uteuzi zinawatoa jasho

Mmehamia huku tena baada ya kupigwa mweleka mkali 28 Oktoba. Mlidhani wajumbe wapo ndani ya CCM pekee
 
Kwanza hayo ni mambo ya ndani ya CCM myinyi hayawahusu.Ngojeni mpangiwe tu. Siku za nyuma angalau mlikuwa mnatoka nje ya bunge au kufunga maplasta midomoni.Sasa hivi mtafanya nini zaidi ya kumfuata Lema na Lissu huko walipo .
Walikuwa hawalitaki bunge wanasusa na kutoka nje. Sasa wananchi wamewatoa jumlajumla.

Hivi wewe kuna baadhi ya Chama chako hakijulikani wala hakina kiongozi leo unalalama uchaguzi haukuwa huru na haki huu si upumbavuu. Mwenzio ana kiongozi hadi nyumba 10.
 
Mzee Lukuvi naona kama ndiye anaandaliwa kuwa Mrema(1995), Lowasa(2015) na Membe(2020) wa 2025.

Wameona movie ya Membe ilichelewa kuanza (maana waliianzisha 2019 kwa kuvujisha kinachoitwa mazungumzo ya kumteta mfalme), hivyo ya Lukuvi wameona waianzishe mapema kabisa.

Kazi kwenu wapinzani, sijui mtakwenda na Lukuvi (2025)?
 
sisi Watanzania tuna muombea mhe. Rais Magufuli Mungu ampe hekima na busara ktk kuteua baraza la mawaziri, asiteue kwa upendeleo wa kulipa fadhila bali ateue mtu kwa kuzingatia sifa za utendaji kazi, lkn bila kusahau matarajio ya wananchi.

wananchi walio wengi wamechoka kuona sura za zamani tangu enzi za JK mpaka leo zipo tu kana kwamba hakuna watu wengine, hapana unapo weka watu hao hao kila mwaka mwishowe wanajenga kiburi,
 
Ndg zangu napata tabu sana kuwachagua mawaziri mara ingine nasikia kizunguzungu kabisa mara ingine usingizi mzito unanipitia tena bila sababu za msingi lakini nasali kweli kweli jamani wabunge wotw ni wasomi ndio maana tukawateua kwa nafasi hizo na pia mkumbuke cheo ni dhamana msiende sana kwa waganga nitakaowateua record zao za utendaji ndizo zitzkazokuwa zimewasababishia uteuzi wao kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom