Wameanza kuomba tender ya kuchonga Sanamu la Hayati Magufuli kwa ku-present kazi walizofanya awali

Wameanza kuomba tender ya kuchonga Sanamu la Hayati Magufuli kwa ku-present kazi walizofanya awali

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Sanamu Moja wapooo

IMG_0860.jpg
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbona ni kama wamefufuka kutoka kwa wafu
 
Milioni 420 itapendeza.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ila serikalini kuna upigaji mkubwa sana, kitu cha kutumia labla 100m lakini utaambiwa ni 300m
 
Duuh!! Hawa waliochonga wangebakia wanunuaji tu.
 
Si wampe kigwangwala anajua wataalamu wa kutengeneza hayo masanamu,hamkumbuki ile ya nyerere
 
Back
Top Bottom