Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Daaa aise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka kule Mwanza, ilichongwa sanamu ya Mwalimu Nyerere na kuwekwa round about pale CCM mkoa, watu wakaikataa na kudai ni sanamu ya mtu mmoja maarufu pale Mwanza, aitwae MASALAKULANGWA! Hatimaye iliondolewa!Si wampe kigwangwala anajua wataalamu wa kutengeneza hayo masanamu,hamkumbuki ile ya nyerere
Khaaa! Hilo sanamu mbona Kama SINAJINA?