britanicca JF-Expert Member Joined May 20, 2015 Posts 16,295 Reaction score 33,994 Jul 7, 2021 #1 Sanamu Moja wapooo
K Kimla JF-Expert Member Joined Jun 8, 2008 Posts 3,810 Reaction score 6,599 Jul 7, 2021 #2 Hizo siyo sanamu za wahusika
Ncha Kali JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 15,335 Reaction score 29,114 Jul 7, 2021 #3 Siku hizi dharau kwa marehemu ni dhahiri.
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,019 Reaction score 10,455 Jul 7, 2021 #4 Iwekwe hii πππ
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Jul 7, 2021 #5 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jul 7, 2021 #6 Mbona hivyo? Hivi mnafahamu kwamba mjane na watoto wanaona? Mnajua wanaumia kiasi gani?
F FOCAL JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 3,513 Reaction score 5,035 Jul 7, 2021 #7 Mbona huyo si Magufuli wala Kagame. Acheni dharau kabisa wakuu. Yaani mnachonga mishetani yenu huko, au ni utani tu.
Mbona huyo si Magufuli wala Kagame. Acheni dharau kabisa wakuu. Yaani mnachonga mishetani yenu huko, au ni utani tu.
Molleli Senior Member Joined Aug 29, 2020 Posts 185 Reaction score 165 Jul 7, 2021 #8 π€£π€£π€£π€£π€£
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Jul 7, 2021 #9 Mbona ni kama wamefufuka kutoka kwa wafu
adrenaline JF-Expert Member Joined Jun 17, 2015 Posts 3,152 Reaction score 4,843 Jul 7, 2021 #10 Tuacheni aiseeππππππππ
Mmea Jr JF-Expert Member Joined May 20, 2016 Posts 798 Reaction score 1,871 Jul 8, 2021 #11 Mmmmhh! Huyo siyo magufuri toka lini Magufuri akawa na macho kama kabudiππππππ
Ncha Kali JF-Expert Member Joined Sep 19, 2019 Posts 15,335 Reaction score 29,114 Jul 8, 2021 #12 Milioni 420 itapendeza.[emoji16][emoji16][emoji16]
Stephen Ngalya Chelu JF-Expert Member Joined Oct 31, 2017 Posts 8,252 Reaction score 18,335 Jul 8, 2021 #13 Mmea Jr said: Mmmmhhh !!! Huyo siyo magufuri toka lini magufuri akawa na macho kama kabudiππππππ Click to expand... π π π π
Mmea Jr said: Mmmmhhh !!! Huyo siyo magufuri toka lini magufuri akawa na macho kama kabudiππππππ Click to expand... π π π π
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jul 8, 2021 #14 Ila serikalini kuna upigaji mkubwa sana, kitu cha kutumia labla 100m lakini utaambiwa ni 300m
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 49,759 Reaction score 118,798 Jul 8, 2021 #15 Duuh!! Hawa waliochonga wangebakia wanunuaji tu.
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,425 Reaction score 5,227 Jul 8, 2021 #16 Si wampe kigwangwala anajua wataalamu wa kutengeneza hayo masanamu,hamkumbuki ile ya nyerere
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 10, 2021 #17 Wanautani sana...
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jul 10, 2021 #18 Duh Ova
M mama kubwa JF-Expert Member Joined Nov 3, 2010 Posts 6,230 Reaction score 9,889 Jul 10, 2021 #19 Ziko Ikulu ya Uhuru Kenyatta.
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,926 Reaction score 95,626 Jul 10, 2021 #20 Kama kawaida fundi Maiko atashinda tenda.Mark my words.