kweli umeongea k2, na watanzania wote hasa wanafunz wa vio vikuu wanaamin kua bila UDSM haki zao kapun! Penye ukwel 2ambizane, kwan kama sio mgomo wa UDSM boom lisingepanda from 5000 to 7500tsh per day. Pia sasa hiv 2nampango wa kutetea taifa kwa ujumla kwan viongoz weng wa nchi hii wanataka kuliangamiza taifa kwa manufaa yao binafs. Ha2tavumilia hili hata kidogo, pia nawaomba wanachuo wengine wa vio mbalmbal muige mfano wa UDSM na muondoe hizo mentalities kwamba mnasoma ili muajiriwe, siyo kwel..! BALI 2nasoma ili 2weze kupambana na challengez zinazo2face., na moja ya hizo challengez ni kudai hak ze2 pale 2naponyimwa, na pia kuwatetea wenze2 haki zao ambao hawakupata bahat ya kusoma elim ya juu., kwa pamoja 2naweza! 2simame kidete kwa haki sawa kwa kila Mtanzania! "MNYONGE MNYONGENI LAKIN HAKI YAKE MPENI" ameiiiin...!