Wamebana wameachia! Hatimae wana udsm waliokamatwa waachiwa

Wamebana wameachia! Hatimae wana udsm waliokamatwa waachiwa

Joined
Nov 11, 2011
Posts
11
Reaction score
0
Furaha ilioje UDSM! baada ya wanafunz 41 waliokamatwa na wengine waliojikamatisha wamekutana Rev Sqre na kuwashukuru wote walioshirik mgomo barid wa kutoingia darasan kwa malengo ya kuwarudisha na kuwaweka huru wanaharakat hao waliopelekwa segerea, then kisutu! Sasa UDSM mambo swari.. Nmeamin kwamba "NO RYT WTHOUT FYT IN TZ" kwan kama sio mgomo huo wasingeachiliwa 4eva
 
Kazi nzuri vijana. Ni mwendo wa kuwashinikiza tu mpaka kieleweke
 
Safi hizo ni habari mbaya kwa wasiopenda watanzania wengi wasijikomboe, lakini ni habari njema kwa watanzania wengi ambao bado wanaishi chini ya dola moja kwa siku, pamoja na kwamba serikali yao inajiita ya kidemocrasia lakini imeshindwa kuwatumia wataalamu iliyowasomesha kwa kodi za wavuja jasho hao hao kubuni na kuibua miradi yenye kuinua kipato cha mtanzania mmoja mmoja.

Vijana UDSM siku zote nyie ndo ROLE MODEL ya kudai haki za wanafunzi wote nchini, mkilala nyie basi mnatakuwa mnaliangamiza taifa kupitia uwakilishi wenu wa vijana katika elimu ya juu. Kumbukeni, migomo udsm ni sehemu pia ya mafunzo.
 
Kwa kweli enyi vijana wa UDSM hamna chuo cha kuwaiga hapa Nchini, nawapenda sana vjana wa UD kwa kuwa wengi wenu ni wanaharakati na mnajua jinsi ya kupambana na magamba!!!
 
Furaha ilioje UDSM! baada ya wanafunz 41 waliokamatwa na wengine waliojikamatisha wamekutana Rev Sqre na kuwashukuru wote walioshirik mgomo barid wa kutoingia darasan kwa malengo ya kuwarudisha na kuwaweka huru wanaharakat hao waliopelekwa segerea, then kisutu! Sasa UDSM mambo swari.. Nmeamin kwamba "NO RYT WTHOUT FYT IN TZ" kwan kama sio mgomo huo wasingeachiliwa 4eva

Je wameachiwa kwa masharti gani?
 
Safi hizo ni habari mbaya kwa wasiopenda watanzania wengi wasijikomboe, lakini ni habari njema kwa watanzania wengi ambao bado wanaishi chini ya dola moja kwa siku, pamoja na kwamba serikali yao inajiita ya kidemocrasia lakini imeshindwa kuwatumia wataalamu iliyowasomesha kwa kodi za wavuja jasho hao hao kubuni na kuibua miradi yenye kuinua kipato cha mtanzania mmoja mmoja.

Vijana UDSM siku zote nyie ndo ROLE MODEL ya kudai haki za wanafunzi wote nchini, mkilala nyie basi mnatakuwa mnaliangamiza taifa kupitia uwakilishi wenu wa vijana katika elimu ya juu. Kumbukeni, migomo udsm ni sehemu pia ya mafunzo.

kweli umeongea k2, na watanzania wote hasa wanafunz wa vio vikuu wanaamin kua bila UDSM haki zao kapun! Penye ukwel 2ambizane, kwan kama sio mgomo wa UDSM boom lisingepanda from 5000 to 7500tsh per day. Pia sasa hiv 2nampango wa kutetea taifa kwa ujumla kwan viongoz weng wa nchi hii wanataka kuliangamiza taifa kwa manufaa yao binafs. Ha2tavumilia hili hata kidogo, pia nawaomba wanachuo wengine wa vio mbalmbal muige mfano wa UDSM na muondoe hizo mentalities kwamba mnasoma ili muajiriwe, siyo kwel..! BALI 2nasoma ili 2weze kupambana na challengez zinazo2face., na moja ya hizo challengez ni kudai hak ze2 pale 2naponyimwa, na pia kuwatetea wenze2 haki zao ambao hawakupata bahat ya kusoma elim ya juu., kwa pamoja 2naweza! 2simame kidete kwa haki sawa kwa kila Mtanzania! "MNYONGE MNYONGENI LAKIN HAKI YAKE MPENI" ameiiiin...!
 
kweli umeongea k2, na watanzania wote hasa wanafunz wa vio vikuu wanaamin kua bila UDSM haki zao kapun! Penye ukwel 2ambizane, kwan kama sio mgomo wa UDSM boom lisingepanda from 5000 to 7500tsh per day. Pia sasa hiv 2nampango wa kutetea taifa kwa ujumla kwan viongoz weng wa nchi hii wanataka kuliangamiza taifa kwa manufaa yao binafs. Ha2tavumilia hili hata kidogo, pia nawaomba wanachuo wengine wa vio mbalmbal muige mfano wa UDSM na muondoe hizo mentalities kwamba mnasoma ili muajiriwe, siyo kwel..! BALI 2nasoma ili 2weze kupambana na challengez zinazo2face., na moja ya hizo challengez ni kudai hak ze2 pale 2naponyimwa, na pia kuwatetea wenze2 haki zao ambao hawakupata bahat ya kusoma elim ya juu., kwa pamoja 2naweza! 2simame kidete kwa haki sawa kwa kila Mtanzania! "MNYONGE MNYONGENI LAKIN HAKI YAKE MPENI" ameiiiin...!

huu uandishi wako umekaa kiajabuajabu. Kweli Elimu imevamiwa. Jaribu kuwa makini ktk uandishi wako. Wewe ni university material. Acha kutuandikia kama mtu ambaye hajasoma.
 
Kwa walichokipata hawatakaa warudie tena kugoma.

Wakirudia tena, hakuna haja ya kuwapeleka polisi. Ni kuwatimua chuo. Waende wakaanzishe migomo huko kwao.
 
Wenzenu walichokipata huko hizi siku 7 walizokaa rumande hawatakaa waje wasahau....na ukute wengi wao hawakugoma walikutwa wanasoma kwenye vimbwete!!!wamesota jela wamelala na majambazi....wameona dunia mpya kabisa maishani mwao!!!acheni nyie kule sio kabisa ni dunia nyingine kabissssaaaaaa!!!!!!
 
Je wameachiwa kwa masharti gani?

kwa ujumla hana mashart kwan mwanzon waliambiwa ili wawekewe dhamana kila kichwa kilipiwe Tsh1,000,000, ila wanachuo 2kapinga hilo swala strogly, ingawaje wapo wachache waliolipiwa kiasi hicho na wazaz wao..,few activist hav bn suspended ila lazma wawekwe huru pind 2 bodi ya chuo itakapo kaa! Unlec otherwise 2talianzisha tena kwan walikua wanadai hak za wenzao waliokosa mkopo na sio kwa maslahi yao binafs, hivyo basi, nasi 2 pamoja nao kwa kiwaliku sawa kabisa kudai haki za walionyimwa! "The ryt delayed is the ryt denied nd we'r against it"
 
Kwa walichokipata hawatakaa warudie tena kugoma.

Wakirudia tena, hakuna haja ya kuwapeleka polisi. Ni kuwatimua chuo. Waende wakaanzishe migomo huko kwao.

kwahiyo unaona wao ni wajinga au walikua wanadai upumbavu! Jichunge, acha kuonge nonsenc! Hujui lolote na unaihitaji kuanza nursary xul na cjui itakuchukua muda gani ili nawe ufike UDSM ukajionee mwenyewe. Badilika la sivyo itakucost,., "Asiejua maana asiambiwe maana" wanaJF 2shakuchoka kwa upumbavu wako.
 
Kwa walichokipata hawatakaa warudie tena kugoma.

Wakirudia tena, hakuna haja ya kuwapeleka polisi. Ni kuwatimua chuo. Waende wakaanzishe migomo huko kwao.

Post zako zinakera sana hebu pima kitu unachoandika kama kina fanana na elimu ulinayo maana nishapata wasiwasi na ELIMU YAKO.
Na migomo udsm haikuanza leo tutagoma sana tuta andamana sana, tukidai masilai ya watanzania. Nyie sasa mnaofaidika na mfumo mbovu, mme tumwa humu ndani kuvurungu mada za msingi ipo siku mtatafuta pakuji ficha.
 
kwahiyo unaona wao ni wajinga au walikua wanadai upumbavu! Jichunge, acha kuonge nonsenc! Hujui lolote na unaihitaji kuanza nursary xul na cjui itakuchukua muda gani ili nawe ufike UDSM ukajionee mwenyewe. Badilika la sivyo itakucost,., "Asiejua maana asiambiwe maana" wanaJF 2shakuchoka kwa upumbavu wako.

angalia usije uka-disco, badala ya kusoma we kila saa upo jf kupost maswala yasiyo na kichwa wala miguu.

Nakushauri usome, wanaharakati walikuwepo enzi ya kina Mtatiro sio nyie wapaka poda.
 
Post zako zinakera sana hebu pima kitu unachoandika kama kina fanana na elimu ulinayo maana nishapata wasiwasi na ELIMU YAKO.
Na migomo udsm haikuanza leo tutagoma sana tuta andamana sana, tukidai masilai ya watanzania. Nyie sasa mnaofaidika na mfumo mbovu, mme tumwa humu ndani kuvurungu mada za msingi ipo siku mtatafuta pakuji ficha.

anyway
nakushauri usome, jukumu la kujikwamua kimaisha lipo mikononi mwako.

Acheni dhana ya kujiona kama serikali inawakosea kila mara.
 
Furaha ilioje UDSM! baada ya wanafunz 41 waliokamatwa na wengine waliojikamatisha wamekutana Rev Sqre na kuwashukuru wote walioshirik mgomo barid wa kutoingia darasan kwa malengo ya kuwarudisha na kuwaweka huru wanaharakat hao waliopelekwa segerea, then kisutu! Sasa UDSM mambo swari.. Nmeamin kwamba "NO RYT WTHOUT FYT IN TZ" kwan kama sio mgomo huo wasingeachiliwa 4eva
Hahahah kweli wamebana wameachia. HAKUNA NGUVU KUBWA YA KUZIDI UMMA.
 
Wenzenu walichokipata huko hizi siku 7 walizokaa rumande hawatakaa waje wasahau....na ukute wengi wao hawakugoma walikutwa wanasoma kwenye vimbwete!!!wamesota jela wamelala na majambazi....wameona dunia mpya kabisa maishani mwao!!!acheni nyie kule sio kabisa ni dunia nyingine kabissssaaaaaa!!!!!!

...Acha story za kwenye kahawa wewe! umewahi kukaa rumande na kama ulikaa ulifanywa nini hata mpaka leo hujasahau? Hivi kuna tofauti gani ya Rumande na kuwa huru huku ukiwa unaishi kwenye giza sababu ya mgao wa umeme/au huna uwezo wa kuunganisha umeme, maji yanatoka saa sita usiku yanakatika saa 11 asubuhi, mshahara wa kuunga unga nk? wewe unapaswa ujihurumie kuwa baada ya muda wote uliutumia shule leo bosi wako umeku assign ushinde kusoma JF kwa kutumia ID tofauti na kuandika pumba kama strategy yenu ya ku counter mabadiliko Tanzania.......Dont think you can fool people na ID zenu mnazo share humu 24/7 mnasoma na kupost negative comments. In short you have been asked to act DUMB! Hata mke ako na watoto wakijua kuwa unaamka asubuhi kwenda kazini kufanya hiki unacho fanya watakudharau sana.....SHAME ON YOU!
 
angalia usije uka-disco, badala ya kusoma we kila saa upo jf kupost maswala yasiyo na kichwa wala miguu.

Nakushauri usome, wanaharakati walikuwepo enzi ya kina Mtatiro sio nyie wapaka poda.

we kwel NYAU! nshakwambia 'maada za WASOMI WAACHIE WASOM WAJADILI' kwani kwako unaona upumbavu coz ya ujinga wako, ILA swala la CAMERON mjinga kama wewe amelikubal 100%..., zezeta wewe!
 
Back
Top Bottom