naona yanashugulikiwa kwa kasi kubwa xana kwan mpaka sasa wanafunz zaid 140 wa Udsm wameekewa BOOM. Na bado wanaendelea kuweka, wakisitisha kama kawa 2NALIANZISHA TENA
Kwa kweli enyi vijana wa UDSM hamna chuo cha kuwaiga hapa Nchini, nawapenda sana vjana wa UD kwa kuwa wengi wenu ni wanaharakati na mnajua jinsi ya kupambana na magamba!!!
Mkuu ndiyo tofauti ya chuo kuwa na wanafunzi waliofanya vizuri class na wale vilaza wa vyuo vingine. Ila SUA nao wako juu ingawa nao huwa hawaeleweki sometime wanageuka na kuwa kama CUF vileeeeeeeee!
Furaha ilioje UDSM! baada ya wanafunz 41 waliokamatwa na wengine waliojikamatisha wamekutana Rev Sqre na kuwashukuru wote walioshirik mgomo barid wa kutoingia darasan kwa malengo ya kuwarudisha na kuwaweka huru wanaharakat hao waliopelekwa segerea, then kisutu! Sasa UDSM mambo swari.. Nmeamin kwamba "NO RYT WTHOUT FYT IN TZ" kwan kama sio mgomo huo wasingeachiliwa 4eva
huu uandishi wako umekaa kiajabuajabu. Kweli Elimu imevamiwa. Jaribu kuwa makini ktk uandishi wako. Wewe ni university material. Acha kutuandikia kama mtu ambaye hajasoma.