GENTAMYCINE na Mwenyekiti Murtaza Mangungu pepo ni yao.Genta wewe ni peponi moja kwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE na Mwenyekiti Murtaza Mangungu pepo ni yao.Genta wewe ni peponi moja kwa moja
Wale mbumbumbu wa Simba wewe ni kiongozi waoNajua tunataka Kumlinda Kocha Mgeni asianze na Nuksi, ila tunaomba nasi hata Mechi moja tu ya Kirafiki hata kama tutapigwa 9 kwa 0 poa ili mradi nasi tukione Kikosi chetu na tujue je, yaliyomo yamo au ni yale yale ya kuendelea Kuteseka. Sasa katika Mechi Mazoezi hapo Kocha anagundua nini? Hebu tuthubutuni kama Wenzetu leo.
Na wewe ukiwemo kwenye list ya hao mbumbumbuWale mbumbumbu wa Simba wewe ni kiongozi wao
Bila kumsahau Try againGENTAMYCINE na Mwenyekiti Murtaza Mangungu pepo ni yao.
Wakithubutu kucheza mechi ya kirafiki na timu inayojielewa na wakaonyesha kwenye runinga live nitakunya mavi dar nzima! Awawezi ata kwa dawa viongozi wenu unafikiri ni wajinga wanajua mkitandikwa akuna atakayeonekana uwanjani kwenye Simba day, na wanajua bado Amna timu pale ya kushindana ni propaganda tu za kina Ahmed AlyNajua tunataka Kumlinda Kocha Mgeni asianze na Nuksi, ila tunaomba nasi hata Mechi moja tu ya Kirafiki hata kama tutapigwa 9 kwa 0 poa ili mradi nasi tukione Kikosi chetu na tujue je, yaliyomo yamo au ni yale yale ya kuendelea Kuteseka. Sasa katika Mechi Mazoezi hapo Kocha anagundua nini? Hebu tuthubutuni kama Wenzetu leo.
Wewe na mipira tu..Najua tunataka Kumlinda Kocha Mgeni asianze na Nuksi, ila tunaomba nasi hata Mechi moja tu ya Kirafiki hata kama tutapigwa 9 kwa 0 poa ili mradi nasi tukione Kikosi chetu na tujue je, yaliyomo yamo au ni yale yale ya kuendelea Kuteseka. Sasa katika Mechi Mazoezi hapo Kocha anagundua nini? Hebu tuthubutuni kama Wenzetu leo.
Si unajua nyie wazee wa sold out, wakionyesha hamtokuja uwanjani.Najua tunataka Kumlinda Kocha Mgeni asianze na Nuksi, ila tunaomba nasi hata Mechi moja tu ya Kirafiki hata kama tutapigwa 9 kwa 0 poa ili mradi nasi tukione Kikosi chetu na tujue je, yaliyomo yamo au ni yale yale ya kuendelea Kuteseka. Sasa katika Mechi Mazoezi hapo Kocha anagundua nini? Hebu tuthubutuni kama Wenzetu leo.
Yanga inacheza vizuri hata TV za SA watangazaji walikua wanaongelea hilo kuwa hata mechi ya Mamelodi kucheza vibaya ni kutokana na ubora wa Young Africa...Mnawasifu bure hao watoto wa Mzee Magoma. Walizusha Simba kala 6 kwa sababu walikuwa matumbo joto na mechi hizi walizoenda kucheza SA, walitaka kutengeneza mazingira wakichapwa waseme na nyie mmefungwa 6 kwa mechi waliyoitunga. Wamezoea kujitekenya na kucheka wenyewe.
Usiku wa leo watalala unono baada ya kuchapwa 2 tu, wanaweza hata kujikojolea vitandani hawa vyura.
Yanga Bingwa💚💛🖤💪
Mgunda,,Matola na Kibu Denis pia naomba Malaika wa Kheri awasindikize hiyo siku huko peponiBila kumsahau Try again
Wewe Pimbi unajua umenifanya Nicheke sana?😂😔Ushirikina amuachie nani?
Hata Mimba pia Najaza kama ukitaka kwa tatizo lako Sugu la Ugumba.Wewe na mipira tu..
😂😂 Mbinguni na matunguli wapi na wapiWewe Pimbi unajua umenifanya Nicheke sana?
SawaKama kawaida yangu hapa JamiiForums na nje ya JamiiForums.