Wamegeuza mahusiano kuwa ajira

Wamegeuza mahusiano kuwa ajira

😂😂😂😂Npo hapa naota jua karibu
Mmoja nilimcheck halafu Dada zetu wanauza wengine tunawaheshimu Ila wana mambo ya ajabu nilianza kumpiga sound mmoja akaanza konakona nikajua tu hapa nimekutana na muuzaji ikabidi niende straight nikamuuliza huduma yake ebwana nichapu nikapewa menu yaan kibunda mezani mambo yasiwe mengi ukimaliza nenda na tusileteane mazoea ya ajabu watu wapo kazini
 
Hakuna cha buree mjinii,
Nipe, nikupee, Toa, upewee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom