Wameinama, wameinuka wanaona haya haoo!

Wameinama, wameinuka wanaona haya haoo!

Jamani miti yote imeanza kuteleza sasa... kaza uzi.. watawayawaya sana myaka hii mpaka 2010 kitaeleweka tu!

sasa hivi kila mtu anaropoka lwake..
mara sita ohhh huu ni uzushi mambo ya mtandao, ntakushitaki vielezo feki
-mara ohhh.. sikuikataa hoja, sema ilikuwa ndefu kurasa nyingi kuzisoma
mara ohooo ni watu wachache si chama..

mara huyu tena hoo hii ni hoja yetu!! yaani ni mkoroganyo!

Anacho sahau ni kwamba, swala si nani mleta hoja swala ni nani walikula hela zetu? hata wakisema walileta wao sie twataka warudishe mabilioni yetu yaliyo wapa ushindi wa kishindo!

Hata hivo.. ukweli bado uko pale pale hoja ni ya Slaa.
 
Jamani miti yote imeanza kuteleza sasa... kaza uzi.. watawayawaya sana myaka hii mpaka 2010 kitaeleweka tu!

sasa hivi kila mtu anaropoka lwake..
mara sita ohhh huu ni uzushi mambo ya mtandao, ntakushitaki vielezo feki
-mara ohhh.. sikuikataa hoja, sema ilikuwa ndefu kurasa nyingi kuzisoma
mara ohooo ni watu wachache si chama..

mara huyu tena hoo hii ni hoja yetu!! yaani ni mkoroganyo!

Anacho sahau ni kwamba, swala si nani mleta hoja swala ni nani walikula hela zetu? hata wakisema walileta wao sie twataka warudishe mabilioni yetu yaliyo wapa ushindi wa kishindo!

Hata hivo.. ukweli bado uko pale pale hoja ni ya Slaa.

Huyu Sitta inaoneka amepoteza function ya kutunza memory kwenye ubongo wake....... Wakati kama hawa wanastahili special prison kule Mafia or somewhere.

Hii nchi ni yetu na one of these days tutaichukuwa toka kwa mafisadi wa ccm, mipango inaendelea kukamilishwa.
 
Huu ni ulevi wa madaraka wa kupindukia. Nadhani sasa wanatamka bila kumaanisha. Wanfikiri WatZ bado wamelala usingizi na wanaweza kuwaendesha kwa mazingaombwe. Shame on you Chiligati and Co.
 
Kasheshe anaweza kusema vyema zaidi maana yeye anawajua CCM .Nangoja aje aseme lake kuhusiana na uozo na ufupi wa mawazo wa wana CCM wenzetu hawa .
 
admin unga hiyo....na zile za ufisadi....uanonaje tukawa na moja yenye UFISADI BOT-ATCL...TUENDELEE KU....NYANI GILANI
 
Mafisadi Wanatafuta Hoja Ya Kuingilia Kiteto Hapa Na Ninazo Taarifa Kuwa Kamati Kuu Iliidhinisha Kiasi Kikubwa Sana Kwa Ajili Ya Kampeni Nitaziweka Hapa Siku Na Saa Itakapowadia.
 
Back
Top Bottom