Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana wanajamvi,
Tangu sakata la kuuzwa Bandari za Tanganyika tumeshuhudia maigizo,vibweka na Mbwembwe zikifanyika nia na madhumuni ni kutusahaulisha juu ya kuuzwa Bandari zetu kwa waarabu wa hukoooo Dubai UAE.
Walianza na karata ya kununua magoli kabla hatujakaa sana wakatuletea ujanja wa kuunda wizara mpya ya DP World na kumpachika uwaziri yule Prof alikimbia huko Singida.
Prof Uchwara kapachikwa pale kutupooza waTanganyika na machungu ya Bandari zetu kuuzwa na waZanzibar.Hili nalo limeshindwa kupooza moto wa Bandari za Tanganyika.
Wakubwa baada ya kubaini bado wa Tanganyika wana uchungu na Bandari zao wakaamua kuja na mkakati wa kuingiza UDINI.Hili walifanikiwa kuwasomba watanganyika wajinga wajinga kama The Boss ,FaizaFoxy ,The Big Show ......Hawa ukichanganya na Masheikh ubwabwa hawajui thamani ya urithi wa waTanganyika wameweka mbele udini kuliko kutazama uhalisia.
Viongozi baada ya kubaini waTanganyika bado ni wamoja wakaanzisha mchakato mwingine wa kututoa kwenye reli HAKI JINAI.WaTanganyika bado tunadai BANDARI zetu.
Tangu sakata la kuuzwa Bandari za Tanganyika tumeshuhudia maigizo,vibweka na Mbwembwe zikifanyika nia na madhumuni ni kutusahaulisha juu ya kuuzwa Bandari zetu kwa waarabu wa hukoooo Dubai UAE.
Walianza na karata ya kununua magoli kabla hatujakaa sana wakatuletea ujanja wa kuunda wizara mpya ya DP World na kumpachika uwaziri yule Prof alikimbia huko Singida.
Prof Uchwara kapachikwa pale kutupooza waTanganyika na machungu ya Bandari zetu kuuzwa na waZanzibar.Hili nalo limeshindwa kupooza moto wa Bandari za Tanganyika.
Wakubwa baada ya kubaini bado wa Tanganyika wana uchungu na Bandari zao wakaamua kuja na mkakati wa kuingiza UDINI.Hili walifanikiwa kuwasomba watanganyika wajinga wajinga kama The Boss ,FaizaFoxy ,The Big Show ......Hawa ukichanganya na Masheikh ubwabwa hawajui thamani ya urithi wa waTanganyika wameweka mbele udini kuliko kutazama uhalisia.
Viongozi baada ya kubaini waTanganyika bado ni wamoja wakaanzisha mchakato mwingine wa kututoa kwenye reli HAKI JINAI.WaTanganyika bado tunadai BANDARI zetu.