Pole sanaAmani imetoweka kabisa.
Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja.
Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo.
Hatulali makelele mtindo mmoja wakishamaliza mambo yao saa tisa ndio usingizi unakuja.
Huyo ni mlipa Kodi na ana TIN muulize mwenye nyumba kama kodi unayolipa anakatwa VAT. Ukishindwa Hama mtaaAmani imetoweka kabisa.
Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja.
Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo.
Hatulali makelele mtindo mmoja wakishamaliza mambo yao saa tisa ndio usingizi unakuja.
Mataga mmekuwa walalamishi sanaAmani imetoweka kabisa.
Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja.
Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo.
Hatulali makelele mtindo mmoja wakishamaliza mambo yao saa tisa ndio usingizi unakuja.
Sio kwata mkuu,Sorry to say that ,hapo shida ni nyinyi kukaa Maeneo ya "SKWATA" ambapo hakujapangwa hata huyo mwenye bar/ukumbi na yeye ana haki ya kufanya biashara hapo kwenye skwata ,mngejenga sehemu iliyopimwa it means sehemu ya club ingejitenga na makazi.
Huyo ni mwekezaji, umesoma hati yake ya umiliki wa kiwanja?Sheria airuhusu kujenga shughuli za starehe kwenye makazi ya watu.
Waulize wanaokaa jirani na KidimbwiHaya ni mateso yaani weekend unasema upumzike unaishia kusikiliza miziki tu.
Sawa atakuwa kabadilisha ndio maana anatamba kwa kulipa kodi wewe huna guts za kumhoji alitakiwa mwenye nyumba wako ahoji nae ataulizwa una wapangaji je unalipa kodi serikalini? Ndio maana kachagua kuchutama maisha ya songe vumilia au hama mtaa.Hapo awali yalikuwa makazi binafsi.
Mbezi beach,Masaki,Mikocheni kumejaa mabaa yanapiga kelele sana Napo ni skwata? Yaani siku hizi mitaa ya kishua ndio ina vurugu usiku kuliko uswazi.Sorry to say that ,hapo shida ni nyinyi kukaa Maeneo ya "SKWATA" ambapo hakujapangwa hata huyo mwenye bar/ukumbi na yeye ana haki ya kufanya biashara hapo kwenye skwata ,mngejenga sehemu iliyopimwa it means sehemu ya club ingejitenga na makazi.
Watakuwa ma chadema[emoji1]Amani imetoweka kabisa.
Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja.
Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo.
Hatulali makelele mtindo mmoja wakishamaliza mambo yao saa tisa ndio usingizi unakuja.