grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Hatimaye kile kilichotabiriwa na wapenzi pamoja na wataalamu wa soka kimetimia.
Timu iliyofikiri kujipima nguvu kwa kucheza na kuzifunga Friends Rangers, Polisi kombaini ndiyo kuzifunga timu kubwa na zenye kufahamu soka kama Gormahia na Azam jana nyuso zilisawajika na kulala mapema kama kuku wa mdondo. Nawasilisha.....
Timu iliyofikiri kujipima nguvu kwa kucheza na kuzifunga Friends Rangers, Polisi kombaini ndiyo kuzifunga timu kubwa na zenye kufahamu soka kama Gormahia na Azam jana nyuso zilisawajika na kulala mapema kama kuku wa mdondo. Nawasilisha.....