B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
- Thread starter
-
- #21
Mbona habari njema hii,milioni 800 na magari matatu.
kumbuka hata Man U,Madrid,Barca zinakopa sembuse kwa Simba!
Utopolo kalewa?
una tegemea nn kutoka kwa utopolo kama huu
Yanga ina kikosi imara sana
Kikosi cha yanga kwa Muda waliokaa kambini ni Mchache sana na ukizingatia Safari za hapa na pale! 1st Goalkeeper, Djigui Diarra ni bonge Moja la Mchezaji, hata uwe mnafiki vipi Lazima kazi yake utaikubali tu, Magoli aliyofungwa ni Makosa ya kimpira tu Tumpe Mechi Tano tu Then ndio tuanze Lawama...www.jamiiforums.com
Hata kama haipo ni kawaida kwa taasisi kama Simba kukopa.kama haipo leo inaweza ikawa siku zijazo mleta mada asione ajabu.
So timu ya tajiri hii, tena imekuwaje timu tajiri kukopa nakati timu maskini hazijakopa [emoji848]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ni suala dogo kujua kikubwa tunaanzia uwanjanHii mikataba mnayoingia kila siku timu yenu hivi hela zinaendaga wapi make Mwamedi alisema timu anaendesha kwa hasara
wamekopa magari uko ππππ
Mkuu, hili jukwaa lina watu wenye akili na elimu zao, kwa hiyo usidhani hatufuatilii mtiririko wa unayobandika humu.Hii mikataba mnayoingia kila siku timu yenu hivi hela zinaendaga wapi make Mwamedi alisema timu anaendesha kwa hasara
Mashabiki wa utopolo hamnazo alisikika msululeMkuu, hili jukwaa lina watu wenye akili na elimu zao, kwa hiyo usidhani hatufuatilii mtiririko wa unayobandika humu.
Ulianza kwa hoja ya kuwa Simba wamekopa magari. Hii ya pili ghafla imebadilika, sio kukopa tena, bali kuhoji hela za mikataba zinazoingia katika klabu ya Simba kwamba zinaenda wapi
Mimi nilidhani kwamba ungeendelea na msimamo wako kuwa Simba wamekopa magari ungeonekana kidogo kwamba kuna hoja unasimamia. Kitendo cha kuanza na hoja mpya ya mapato ya mikataba kinaiua hoja yako ya kukopa magari, maana haiwezekani mtu akukopeshe magari halafu akupe na hela!
Endelea na hoja moja walau uonekane ulipitapita shule kidogo, vinginevyo utaonekana kuwa ni mweupe kichwani
Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
[emoji591] Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
[emoji604] Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
[emoji590] Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja
Hebu elezea vizuri wamekopaje Mkuu, tofauti na hapo utakuwa na hila,roho mbaya,roho ya kishetani au unaleta unazi kwenye jambo ambalo ni serious,umeifuatilia vizuri press conference?
Huo mkopo uko wapi sasaMkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
[emoji591] Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
[emoji604] Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
[emoji590] Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja
Hawajakopa, kuwa makini mkataba unahusu simba kuitangaza hiyo kampuni kibiashara na hivyo muda si mrefu mtaanza kuona nembo ya hiyo kampuni kwenye jezi ya simba pia mkataba hawajasema kwamba una thamani ya mil 800 wamesema unathamani ya "zaidi ya mil 800"Mkataba mwingine kwa mabingwa wa nchi wa udhamini kutoka kampuni ya Africarriers wenye thamani ya Tsh. 800 milioni.
Mdhamini atatoa mabasi matatu;
π Basi moja litatumiwa na Simba Senior Team
π Basi la pili litatumiwa na Simba Queens
π Basi la tatu litatumiwa na timu ya vijana (Simba Youth)
Africarriers ni kampuni ambayo inajihusisha na biashara ya kuuza na kukopesha magari nchini. #NguvuMoja