Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
INA MASHAKA HII...........Inasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya Chadema, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema. Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.
Ni uzushi wa ccm baada ya kuona kila mbinu ya kuvuruga inafeliINA MASHAKA HII...........
sasa makubalino yako wapi hapo ikiwa uchaguzi unaendelea gentleman?Inasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya Chadema, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema. Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.
Iwapo ndivyo, basi ni hasara daima.Inasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya Chadema, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema. Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.
zsInasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya Chadema, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema. Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.
kwa hotuba zile tulisha sense what gonna hap'nInasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya Chadema, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema. Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.
Leo umenena kiutu uzimasasa makubalino yako wapi hapo ikiwa uchaguzi unaendelea gentleman?
ikiwa kuna azimio la aina hiyo, kuna haja gani tena kusema ikiwa atashindwa uchaguzi, kama sio tetesi maalumu ya upotoshaji hii gentleman?🐒
naiyona chadema yenye nidhamu na utii chini mbowePoa tu, mradi chama kisigawanyike, nadhani huu mkutano utampitisha moja kwa moja kama walivyofanya CCM
CHADEMA sio CCM chawa mpuuziInasemekana kuwa Ilikupooza mpasuko ndani ya CHADEMA, Lisu katulizwa kuwa hata kama akishidwa atapewa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia Chadema.
Ila nafasi ya uenyekiti ibaki kwa Mhe. Mbowe.