Wamependezaje Klyn baby

Hahhha Heaven on earth umenivunja maini wallah
Sasa itabid uwahi kwa Rostam ila yeye bado hajawa babu kivileee
 
Last edited by a moderator:
Wow wamependeza wenyewe.....kila la kheri jamani
 
hahaha My dia sa hivi kamata fursa twen'zetu

ukikiona kibabu chatafuta mpenzi huko nishtue

Hayaa huku kwetu Mwanza kuna li gachumo sijui utaliweza linahongaje hilo ila sasa wahongaji wakubwa eti ni wana mdudu tu,halaf ambao hawahongi eti hawana yaan watu banaaa
 
Nimo nimo kwenye hilo rika.

Pesa ipo kama ya bwana machache kama ipo na unajua kuitumia bila kubana Heaven yupo kama huna tunakutupa kule hapana chezea sieee
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe natafuta kizee...nasikia vinajua kutunza kweli kweli

vitaachaje kukutunza na wanajua matatizo yao ya kiafya...........

hlf kijacho utakifanyaje?............... kuna mzee anakisu balaa sema kinateseka na mapeni huku kitaa.
 
vitaachaje kukutunza na wanajua matatizo yao ya kiafya...........

hlf kijacho utakifanyaje?............... kuna mzee anakisu balaa sema kinateseka na mapeni huku kitaa.

kwani nanihii nae ana hayo matatizo......................

Kijacho si ndio atapata mlezi wa ukweee..........huyo Mzee yuko hii hii Dar au nanihii

nianze kumsaka kuanzia sasa
 
Uwiiii kwani lazima uipate kila siku imekua maji ya kunywa kha!!
Tutamuelewesha tu kua ajitahidi kufikia levo za bwana machache,,lazima apoe tulii

wengine bila hiyo usingizi hauji kabisaaaa...........
na ye ndio anajua wapi kwa kunikuna kihasaaaaa lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…