Mi mwenyewe natafuta kizee...nasikia vinajua kutunza kweli kweli
Kyaiyembe kwani we ni mzeeKigezo ni uzee tu? au pesa inahusika!.
Nimo nimo kwenye hilo rika.
Hahhha Heaven on earth umenivunja maini wallah
Sasa itabid uwahi kwa Rostam ila yeye bado hajawa babu kivileee
hahaha My dia sa hivi kamata fursa twen'zetu
ukikiona kibabu chatafuta mpenzi huko nishtue
Mi mwenyewe natafuta kizee...nasikia vinajua kutunza kweli kweli
vitaachaje kukutunza na wanajua matatizo yao ya kiafya...........
hlf kijacho utakifanyaje?............... kuna mzee anakisu balaa sema kinateseka na mapeni huku kitaa.
kwani nanihii nae ana hayo matatizo......................
Kijacho si ndio atapata mlezi wa ukweee..........huyo Mzee yuko hii hii Dar au nanihii
nianze kumsaka kuanzia sasa
Ngoja nimuite Nicas Mtei utakiona cha moto
huyo uliemuita akigoma kunipa anachonipaga kila siku sijui utafanyaje
Uwiiii kwani lazima uipate kila siku imekua maji ya kunywa kha!!
Tutamuelewesha tu kua ajitahidi kufikia levo za bwana machache,,lazima apoe tulii
wengine bila hiyo usingizi hauji kabisaaaa...........
na ye ndio anajua wapi kwa kunikuna kihasaaaaa lol
Aisssee usingizi hauji kabisa! !!basi mie mgonjwa, usijali alivyozimika wala hawez acha kukupatia daawati tama
hahaa na unahitaji upate dawa haraka iwezekanavyo...
Dont wait mpaka ugonjwa ukomae 🙂
somo gani?
Age aint a number...Aaliyah