Mleta mada kauliza ilo swali ili kuprove kuwa mziki wa domo unazidi kutusua kimataifa kama anapata adi show nchi ambazo hutegemei mziki wa bongo flava kusikia kwny izo nchiMleta mada mbona nyimbo za kizaire unacheza kwani unaelewa? Koffi Olomide alikuwa anajaza White Sands enzi zile, wote wali walikuwa wanaongea Kizairwaa?
I noticed the same.Nimeshtuka sana kweli Kijana wa kiume anaweka hashtag hiyo.God forbid,sijui tunaelekea wapi.Inabidi vijana wajiulize kwanini mwanaume na mwanamke wanaungana na kupata mtoto na sio mwanaume kwa mwanaume.Nowadays our young boys are in danger than previous generation God forbid.Mwanaume mzima unaweka hash tag ya "mashauzi yamempata mshauaji" kweli hawa ndo wanaopumuliwa[emoji15] [emoji15]
Abababaaaabaaaaaa abaaaabaaaaaaa abbaaaaaaabaaaaabaaaaaaaaaaaaaaaaaa prakataaaa tumbaaaa tumbaaaaa ababaabaaaaaaaKwani zile nyimbo za nachi zilizokuwa zinavuma tulizielewaje kwani... Vipi kuhusu cabo snoop... Vipi kuhusu wenge musica... Wenge BCBG ....
We jamaa una akili sanawakina Koffi Olomide walivyokuwa wanakula hela zetu miaka ile wakija bongo walikuwa wanaimba kwa kindengereko!?!
Acha mahaba ya namna hiyo mkuu...kwenye mziki kuna lugha moja tu kama ilivyo football
UMELIPWA SHILINGI NGAPI???
Uko sahihi pia kuna zile"capuccino "za nguvu na maanisha toto zilizochanganya!Mayotte ni kisiwa ndani ya bahari ya hindi, wakazi wa kisiwa hiki walikataa kuwa chini ya utawala wa mwafrica, wakaamua kuwa chini ya utawala wa ufaransa. Kwa hiyo ukienda Mayotte, mambo yote ni Ufaransa. Ni karibu sana na Commoro, kama nimekosea mnisamehe.